Mwenyekiti wa Chadema Iringa Mjini Frank Nyalusi asema huu ndio wakati muafaka wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti Taifa, vinginevyo ni majanga

Wenzao CCM wanadunda tu na kofia mbili za mwenyekiti wao, yeyote atakayejitokeza anahangaisha chama atashughulikiwa kisawasawa atulie πŸ€£πŸ˜πŸ˜‚
 
CDM hamjawahi kuwa na historia ya kugombea madaraka kama NCCR CUF UDP hiyo ndiyo advantage yetu kupokezana ni urithi wenu, mliishi jina la chama chenu. mtaheshimika
 
Tatizo ni kuwa mnatafuta mtu atakayewapigania mpaka hadi kufa wakati wenyewe mmejificha uvunguni mwa kitanda.

Mbowe amefungwa, amepoteza mali zake, amezushiwa kesi ya ugaidi bila kutetereka. Alipotangaza maandamano alijitokeza yeye, binti yake na wapambanaji wa Bawacha. Leo hii mnambeza kuwa alikuwa lege lege.

Sasa kwa vile mpambanaji amejitokeza kuwania uenyekiti naamini akiwaita mtatoka uvunguni ili mkasimame nae katika hayo mapambano matakatifu.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…