Tena ni sawa kabisa na mtikila. Picha imepigwa Kam vilele ya mtikila, maana picha iko vizuri. Ndiyo maana chadema hapa kukwepa hii lawama ni ngumu
Tamko gani wakati chadema ni chama cha wauji? Suburini uchunguzi. Rais hawezi kukurupuka kama unavyodhani
Mchokoo ni kweli kabisa hata mie machungu yanazidi sana! Ipo siku uvumilivu utafika mwisho.Kova unafurahia vitisho! Shukuru Mungu wadanganyika ni waoga sana!
Kenge wewe,
Chacha wangwe alikuwa lumumba? Au tunajua mchezo mzima alikuwa shujaa wetu kwetu huku,pongezi kwa kujua mchezo mzima,
Narudi kwa wazo la Uzi huu, utavuna ulichopanda ukiwa duniani,
Jamaa yangu hali hii inatusikitisha sana wengine tunaojali na kuheshimu uhai wa mwanadamu na viumbe wengine.Vile vile ni aibu kwa Taifa kama Tanzania na mimi kama Mtanzania sikuwahi kufikiria katika maisha yangu kwamba kuna nyakati zitafika ambapo uhai wa Mtanzania utaondolewa halafu viongozi wakabaki kuishi raha mstarehe pasipokujali madhila ya ndugu, jamaa na marafiki wanayopata kwa kuuawa kiakatili kwa wapendwa wao.Akili, mwili vikishachoka hata roho ya binadamu inachoka so Maamuzi yanakuwa ni hohehahe, unatafuta kilicho karibu na rahisi kumsulubu mtu unayeona anakusumbua lkn kumbe hakusumbui, ni mtoto anakijulisha kalamu linakaribia kuisha wewe unaona unasumbuliwa, shoka likiwa karibu unampa la kichwa akifa unafurahi umepunguza matatizo kumbe ndiyo umeongeza
Tamko gani wakati chadema ni chama cha wauji? Suburini uchunguzi. Rais hawezi kukurupuka kama unavyodhani
Kifo chake kichunguzwe na wanaohusika wachukuliwe hatua za kisheria.
Tusikurupuke kushutumu chama. Mbona nyie chadema mlimuua chacha wangwe. Mbona nyie chadema mlimtishia kumuua Dr Slaa mpaka akakimbia nchi? Mbona nyie chadema inasemekana ndiyo mmehusika na kifo cha mtikila. Kwa nini marehemu apigwe picha style sawa na zile za mtikila? Kwa nini mpiga picha kapiga picha zenye ubora hivyo? Sidhani kama kuna hao vijana wa ccm wana kamera nzuri kiasi hicho zaidi yenu nyie chadema. Hivyo tuache kukurupuka tusubiri uchunguzi.
Acheni kuchochea chuki ndugu kuna maisha baada ya msiba ....
toka nchi yetu ijikomboe kutoka kwa wakoloni,tumekuwa tukisema tanzania ni nchi yenye amani,utulivu,haki,upendo..mimi hayo maneno sikubaliani nayo hata kidogo.
uko wapi uhuru wa kuzungumza?uko wapi uhuru wa kuhoji?uko wapi uhuru wa kushiriki au kushirikishwa?iko wapi haki?iko wapi democrasia?uko wapi upendo??..KAMA TU
-tukihoji utawala tunageuzwa kuwa maadui zao
-tukishiriki harakati tunakuwa maadui zao
-tukiunga mkono wapinzani tunauzwa kuwa maadui zao
-tukidai haki zetu tunageuzwa kuwa maadui zao
-tukiandika habari zinazowagusa tunageuzwa kuwa maadui zao
-tukishinda tunanya'ganywa ushindi
-tukishinda uchaguzi unafutwa.
"iko wapi HAKI ndugu zangu?,iko wapi DEMOCRASIA ndugu zangu?"... hivi hii TANZANIA ni ya nani?????????hivi kuna mwenye hati miliki juu ya nchi hii..???
1.ikoo wapi HAKI juu ya kifo cha DR.MVUNGI aliyekuwa kamishna wa tume ya mabadiliko ya katiba baada ya kuvamiwa kwake kimara na kujeruhiwa na watu wasiojulikana na hatimaye mauti yakamkuta akiwa hospitali.
2.iko wapi HAKI juu ya utekwaji wa DK.ULIMBOKA aliyetekwa na kutolewa meno,kupigwa nondo,kukatwa na mapanga kisa tu kutetea haki za madaktari.
3.iko wapi HAKI juu ya umwagiwaji wa tindi kali kwa mwandishi na mtafiti mahiri SAED KUBENEA?
4.iko wapi HAKI juu ya utekwaji wa KAMANDA MAWAZO na hitimaye kukatwa katwa mapinga na baada ya siku moja akafariki...???
IKO WAPI HAKI,UKO WAPI UHURU,IKO WAPI DEMOCRASIA,UKO WAPI UPENDO NDUGU ZANGU????....KIUKWELI INAUMA SANA BWANA,HII NCHI NI YETU SOTE NA HAKUNA MWENYE HATI MILIKI JUU YA TANZANIA,KWANINI WANATUFANYIA HIVI LAKINIIIIIII???????
Well said EntimIngawa mimi sina chama, ile ilikuwa accident, na viongozi waandamizi walifika tarime ili kufanya utaratibu wa mazishi na kufukuzwa na watu walioandaliwa na chama fulani.
Note:
Alphonce ameuwawa kikatili, lengo la mtoa mada ni viongozi kufika hapa katoro na kutoa kauli zao pamoja kumfariji mjane na kupaza sauti zao juu ya kifo cha mtanzania. Najiuliza, lengo la kutoa roho ya mtu ni udiwani tu?
Hata huyu aliyewatuma asipokamatwa moyoni mwake atakuwa na amani? Udiwani imekuwa dilli kiasi cha kuuwa mtanzania mwenzio kwa kumshambulia kwa silaha za jadi kama jambazi?
Mbona kamanda Chacha Wangwe hakuzikwa kitaifa na chama wakati alikuwa makamu mwenyekiti wa chama. Mpaka leo hata familia yake mmeitelekeza bila msaada wowote. Acheni uhuni huu.
Kama alikula hela za mamvi na kumbuka chadema imeshindwa vibaya sana geita. Inawezekana ni chadema. Kumbuka pia ni chadema hiyo hiyo ilimtishia kumuua Dr Slaa mpaka akakimbia nchi. Ila CCM haikuwahi wala kumtishia mamvi. Chadema ni chama cha magaidi na wauaji.Tatizo lako hujui hats kinachoendelea unapumua hewa chafu tuu
Kamanda ndiye aliyejengs CDM kwa kiwango kikubwa Arusha, Geits na Kanda ya ziwa halafu CDM hiyohiyo imdhuru
Akili za kitchen party ziishie kwenye kusasambua
Masuala ya wafugaji na wakulima wengine wetu tumeshayazungumza sana tena sana, lakini tatizo ni serikali "Sikivu" ya CCM yenyewe ni sehemu ya mgogoro huo usioisha kati ya wakulima na wafungaji. Ingawa ni "Sikivu" lakini si "Zingativu" kwa hiyo tatizo la mauaji kati ya wakulima na wafugaji litaendelea mwaka hadi mwaka mpaka pale serikali "Sikivu" isiyo "Zingativu" itakapotolewa madarakani.Mbona wafugaji na wakulima wanachinjana kwa mapanga na mishale? Hili huwa hamlioni? Report ya polisi inasemaje? Na wewe unasemaje kuhusu 'ushahidi' wako?
R.I.P huyu Kamanda Mawazo, ila watu kuanza kumtumia kama chambo ya kupata kick ya siasa, sio vizuri!