TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

Status
Not open for further replies.
Wakuu,

Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Busanda kupitia CHADEMA bwana Alphonce Mawazo afariki dunia leo.Chanzo cha kifo chake ni kutokana na kipigo kikali kutoka kwa kundi la vijana linalosemekana ni la green guard jana wakati akifanya kampeni kumnadi diwani wake.

Kamanda Mawazo pia ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita.

Kamanda Mawazo pia alikuwa ni member wa JamiiForums (Verified Member) kwa jina lake halisi la Alphonce Mawazo.


attachment.php




Baadhi ya Mada alizowahi kuanzisha Marehemu Alphonse mawazo hapa JamiiForums ni:-

1. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...vyozuia-harakati-na-kuua-ndoto-za-vijana.html

2. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-la-rorya-jioni-hii-kwa-operation-5-days.html

3. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...on-tigitigi-kwa-mikoa-mitano-yazinduliwa.html

4. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/693849-tatizo-la-ngombe-ni-kumpuuza-kupe-maishani.html


Mada juu ya Maoni ya Godbless Lema baada ya kifo cha Alphonce Mawazo - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wazo-ameuawa-na-mfumo-wa-jeshi-la-polisi.html
Huwez kulinganisha tukio hili na la wabeligiji kumnyonga mtoto. Huu ni ugomvi halali wa watu wazima na yule ni mtoto asiye na hatia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom