Kifo nipo hakiepukiki,,,,lkn je hv kila mwanasiasa ni mtu safi nje ya siasa??? Lkn pia hv kila inapotokea kfo cha mtu anaejihusisha na siasa na hasa cha kusababishwa na shambulio la mwili inakuwa direct shambulio hilo ni LA kisiasa???
Mawazo alikuwa binadam km wengne waliopo na walio tangulia,,,,cna Hakka juu ya hili lkn ni heri pia tukaliweka akilin,,,,kwan inashindikana VP kuwa mawazo alikuwa na migogoro na watu wengine au MTU,,,, ambaye sasa anachukua opportunity ya uanasiasa wa mawazo kumdhuru na kujifcha kwenye mwamvuli wa siasa maana anatambua fika kuwa watanzania na ht police hawatopoteza muda kumfikiria yy ila chama na wafuasi kinzani na chama au micmamo ya mawazo!!!
Tuliachie jeshi LA polisi lifanye wajbu wake kisha watatueleza sababu za shambulio hlo,,,kuliko kukubali kujazwa sumu na jazba na viongoz wa juu ambao wao hawapat tabu za jazba km cc