Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idiot unaulizwa Mawazo unajibu Imran kombe how stupid you areNani alimuua Nyerere?Kamanda Baro,Imran Kombe,Mvungi,Mtikila,Wangwe...?
Like you,pumbafIdiot unaulizwa Mawazo unajibu Imran kombe how stupid you are
Kamanda Mawazo aliuliwa na kikundi cha kigaidi cha CCM.naam,
miaka imepita sasa , mengi yameshatokea na yanatokea. binadamu tumeumbwa na kusahau. hata leo jioni wapo watakao sahau msiba wa watoto walipungana kama vile hapajatokea kitu.
pamoja na siku kupita sitausahau usiku ule nikiwa nakula mara naona mwili wa mtu aliyekatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake. inatoka sauti kwamba yule hakuwa jambazi wala kibaka bali ni aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo huko kanda ya ziwa anaitwa kamanda Mawazo. maswali ninayojiuliza mpaka leo. ni
1).nani alimua kamanda mawazo? kwanini hajakamatwa mpaka leo?
2) kamanda mawazo alikuwa mtu mbaya hata kustahili kifo cha mateso namna ile? aliyemuua alipata faida gani?
3) je ni sawa kuita nchi kisiwa cha amani wakati watu wanauwawa kwa kukatwa mapanga kama walivyouwawa kina mawazo na akwilini?
Nani alimua kamanda mawazo kwanini hajakamatwa mpaka leo?
UHAI/ HAKI YA KUISHI NDIYO HAKI MAMA. KUMUA MTU KWA SABABU YEYOTE ILE NI MAKOSA MAKUBWA MBELE YA MUNGU. NI ADHABU YA JUU KABISA.
pumzika kwa amani kamanda mawazo.
ipo siku wauji.na watesi wako watajulikana tu.
how old are you!?Nani alimuua Nyerere?Kamanda Baro,Imran Kombe,Mvungi,Mtikila,Wangwe...?
He is 12how old are you!?