Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe, Rose Mayemba akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha mgomo wa Wafanyabiashara unaoanzia Kariakoo!

Mwenyekiti wa CHADEMA Njombe, Rose Mayemba akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha mgomo wa Wafanyabiashara unaoanzia Kariakoo!

Serikali Ione aibu sasa kwa matendo yake,na ifike mahali iogope utandawazi uliopo na generation hii.
IMG-20240624-WA0000.jpg
 
Ninachoweza kusema, kama wafanyabiashara wanataka kugoma kushinikiza mambo yanayohusisha biashara zao Vs Serikali wagome bila kushirikisha wanasiasa wa Tanzania.

Wanasiasa nao wakae mbali na movement zinazohusu raia walio nje ya siasa zao ili hizi movement zisiwe na milengo ya kisiasa.

Wanasiasa wangapi wamehamasisha migomo? Tukae tujenge nchi yetu kwa pamoja. Kuwa ndani ya ofisi za umma hakumaanishi wafanyabiashara sio watanzania au ni wahalifu.
Treatment ya wafanya biashara kwa muda mrefu imekuwa sio nzuri. Kuna watu wanaweka mazingira kama wanawafanyia favor wafanyabiashara.
Ndio maana kuna makadirio ya kodi yasio kweli na ubabe uliopitiliza
 
Back
Top Bottom