Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Amekamatwa akiwa wapi bwashee?🎙”Taarifa: Kamanda @IAMartin_ amekamatwa na @tanpol usiku wa kuamkia leo Alhamis Mjini Tarime na mpaka sasa haijajulikana sababu za kukamatwa kwake.”- @PatricOleSosopi
#FreeMartinMaranjaView attachment 1468470
Au ndio shughuli zake?mumiani hawakawii kumpa kesi ya heroin
nyie kama mmeweza kumpa Mangula Sumu mtashindwa kubambika kesi za heroin kwa wapinzani?Au ndio shughuli zake?
Jana hujamuona mzee Mangula pale Ikulu Chamwino?nyie kama mmeweza kumpa Mangula Sumu mtashindwa kubambika kesi za heroin kwa wapinzani?
nilimuonea huruma aisee hadi shati limekua over size baba wa watuJana hujamuona mzee Mangula pale Ikulu Chamwino?
Kwanini shati lilikuwa oversized?sumu imekula mikonoJana hujamuona mzee Mangula pale Ikulu Chamwino?
CHADEMA kimekuvimbisha mashavu, mikono hadi vidole kiasi hiki; halafu unakilaani!Au amekamatwa kwa tuhuma hizi?View attachment 1468482
🎙”Taarifa: Kamanda @IAMartin_ amekamatwa na @tanpol usiku wa kuamkia leo Alhamis Mjini Tarime na mpaka sasa haijajulikana sababu za kukamatwa kwake.”- @PatricOleSosopi
#FreeMartinMaranja