Mwenyekiti wa Chama cha ACT – Wazalendo, Juma Duni Haji ajiondoa kutetea nafasi ya Uenyekiti ACT

Ndio kheri yake. Apate muda wa kutosha kumtumikia Muumba wake. Kama kuipigania Zanzibar ashaipigania vya kutosha. Ishatosha sasa awaachie wengine waendeleze. Wenziwe ktk siasa wote washatangulia mbele ya Allah hilo ni funzo tosha kwake
 
ACT wazalendo mmekuwa mkipinga mgombea kupita bila kupingwa, leo mmemstaafisha siasa bila kupenda mzee Juma Duni Haji.

Mbona mnatuchanganya sana nyie, mnapinga mgombea kupita bila kupinga tena mapovu yanawatoka majukwaani halafu leo mnamshawishi Juma Duni amuachie Othman.
 
Ayatollah Khomeini keshatoa maelekezo
 
Kitaasisi CCM imeviacha mbali vyama vya upinzani
1. shallow analysis, extremly shaloow analysis of issues. Unadhani watu hawataki kugombea urais na samia? Ukichukua fomr (kama wamechapisha mbili anyway) wanakufukuza uanachama and you are done.
2. CCM imesimama kwa vile ina DOLA nyuma yake. ndiyo maana mnakataa tume huru, marekebisho ya Katiba and the like. Taasisi inayojisimamia haiwezi kuogopa tume huru...., katiba mpya, kuwabambikia wapinzania kesi, kuzuia mikutano ..for about six yrs...UNAOGOPA NINI, WEWE SI TAASISI IMARA
 
Siasa za viini macho na ACT 😂😂😂
Hawa ACT Zitto alikuwa anaichambua kila report ya CAG awamu ya tano. Toka wapewe asali yupo kimya.

Hawa ACT, Zitto wakikuwa wanasumbua sana wakati wa awamu ya tano. Wamepewa asali wako kimya. Matatizo kibao nchini.

Hiko ni chama cha kupigania asali kwa ACT na Zitto sio maslahi ya Tanzania.
 
Kuna chama mwenyekiti wao kuanzia mwaka 2003 ni yeye tuu wengine wote hawawezi
 
Mpaka dak hii bado hajalipia kadi yake ya CCM (Ada kwa mwaka 1200)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…