digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mwalimu Mkuu huwa anashika zamu?So Sad kwa mwalimu akiwahi kazini kwenda kufundisha watoto wetu.
Huenda alikuwa ndie mwalimu wa zamu lkn ndio hivyo tena hatunae.
Mungu ampumzishe mahala salama.
Aaaaaamin