Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa akutana tena na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa akutana tena na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Huku UWT tuna mambo makubwa tayari, sio kama nyie wanaume wazima kukimbizana na wanawake 19 na bado mmewashindwa
Kwani bado wapo CHADEMA? taja mambo matatu tu ambayo UWT mmefanya mwaka huu yanagusa wananchi na siyo chawa wenzenu kama anavyofanya Malisa anachangisha watu wanatibiwa, wanaenda shule hata waliokata tamaa wanapata tabasamu.
 
Kwani bado wapo CHADEMA? taja mambo matatu tu ambayo UWT mmefanya mwaka huu yanagusa wananchi na siyo chawa wenzenu kama anavyofanya Malisa anachangisha watu wanatibiwa, wanaenda shule hata waliokata tamaa wanapata tabasamu.
Huyo mjinga nilishamu ignore kitambo sana, ana mambo ya kijinga sana!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania Umekutana na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo

View attachment 3034617

Bado hatujafahamu kilichozungumzwa, tuasubiri Taarifa Rasmi ya Ubalozi.
Zaidi ya kuhamasisha ushoga na kumshawishi waanzishe vurugu kama Kenya Kuna kipi cha zaidi!?
 
Kwani bado wapo CHADEMA? taja mambo matatu tu ambayo UWT mmefanya mwaka huu yanagusa wananchi na siyo chawa wenzenu kama anavyofanya Malisa anachangisha watu wanatibiwa, wanaenda shule hata waliokata tamaa wanapata tabasamu.
Kama ambavyo makamu mwenyekiti wa Chadema hajui matumizi ya michango ya chama mana imepigwa kinyamera 😂 ndivyo nami cjui khs mambo yanayoendelea UWT
 
Kama ambavyo makamu mwenyekiti wa Chadema hajui matumizi ya michango ya chama mana imepigwa kinyamera 😂 ndivyo nami cjui khs mambo yanayoendelea UWT
Huwezi kujua sababu upo kuimba mapambio na kupiga mizinga kwa wafanya biashara na utapeli tapeli mwingine, fedha za CHADEMA zinakaguliwa na CAG, kati ya CAG na wewe nani wenye report sahihi?
 
Siku mkija kugundua walichokuwa wakikutania mtachukia na kujuta sifa zote mlizommwagia mtatamani kufuta lakini itakuwa too late
 
Back
Top Bottom