zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Upumbav mtupu hao US wanaeza kutuaribia nchi wakafadhili vijana machafuko yakaanza ,maana kama vijana wenyewe ndio kina sativaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania Umekutana na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo
View attachment 3034617
Bado hatujafahamu kilichozungumzwa, tuasubiri Taarifa Rasmi ya Ubalozi.
Nashauri serikali iwafatilia kwa kina hao