Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Huyo kapuku nilishampiga tofali kitamboAngers, Grudges na negativity zako haziwezi kukwamisha kitu, mind your business Bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kapuku nilishampiga tofali kitamboAngers, Grudges na negativity zako haziwezi kukwamisha kitu, mind your business Bro
Inakuaje kila kukicha mnafuatilia content za chama cha wahuni na watukanaji? Simngejikita kwenye vyama mnavyoona vinawafaa 🤣🤣🤣kimsingi mnaumia sana hawa watu wanavyokubalika na mnajua kabisa ukipigwa uchaguzi huru na haki hao hao masela saa nne asubuhi tu washawakalishaChama cha wahuni na watukanaji mitandaoni.
Macho hayana pazia sasa, sisi tunasoma uzi wa chama chochote.Inakuaje kila kukicha mnafuatilia content za chama cha wahuni na watukanaji? Simngejikita kwenye vyama mnavyoona vinawafaa 🤣🤣🤣kimsingi mnaumia sana hawa watu wanavyokubalika na mnajua kabisa ukipigwa uchaguzi huru na haki hao hao masela saa nne asubuhi tu washawakalisha
Kama hawa wahuni mbona hatuoni nyuzi zakusifia ACT,NCCR,au CUF kwa kufanya vizuri ? Huwezi fuatilia kitu ambacho either Huna manufaa nacho au sio tishio kwako hii Inaonesha dhahiri CDM ni tishio kubwa sana hivyo content zake kila kukicha lazima nyuzi zipandishwe na ndio wanafanya active politics kuliko hata ma sisiemu ndio mana walipozuia mikutano wengine hata haijawagusaMacho hayana pazia sasa, sisi tunasoma uzi wa chama chochote.
Nakuambiaje Mate Kizazi cha sasa kufikia kiwango cha mafanikio ni ngumu sana maana wana roho za Kizee tena za Kichawi kabisaHuyo kapuku nilishampiga tofali kitambo
Masase atakuwa kaenda kupewa matusi mapya ya kumtukana MsigwaChama cha Masela na watukanaji..
KabisaNakuambiaje Mate Kizazi cha sasa kufikia kiwango cha mafanikio ni ngumu sana maana wana roho za Kizee tena za Kichawi kabisa
😂 😂 😂Kabisa
Mambo gani tena?hueleweki kabisa yaani,jitu linakesha mitandoni kusifia wanaume wenzake kuwa na mabilionia ?Usilie Mambo bado!
Ahahahahaha! Kweli wahuni. Mazungumzo wanafanyia kitaa?😂😂😂
Ufipa st Wahuni Wengi Sana