Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiomboi ni mji mdogo bro,hakuna halmashauri za vijiji.Watu hawaelewi sheria na kanuni za TAMISEMI, huyo aliyemtumia sms ya mwaliko alimchuza, mwenyekiti wa kitongoji anaenda WDC kufanya nini wakati yeye ni mjumbe kamati ya kijiji? Huyo nae pia hajielewi au ndio wale tunawachagua hawajui nafasi zao na majukumu yao
Hayo ni mawazo yako finyu.Labda aliingia akaanza kuwatukana
Wafuasi wenyewe ndio kama hawaCcm ni wajinga na wafuasi wao humu jamii forum kwa wenye mtazamo sawa na hawo.
Kiomboi ni mji mdogo bro,hakuna halmashauri za vijiji.
Nagoma kutokaYupo peke yake kata nzima,hata kama ni wewe utafanya Nini?
Ungeinukuu hiyo Sheria ungekua umefanya jambo la Muhimu sana Kwa faida ya wengi!Diwani ni mwenyekit wa WDC na mwenyekiti wa kitongoji sio mjumbe WDC Mwenyekiti wa kijiji ndio mjumbe halali. Diwani yupo sahihi kulingana sheria za TAMISEMI
Wewe shujaaNagoma kutoka
Kwa kifupi hatukustaarabika kupokea na kujiunga na mfumo wa vyama vingi. Ndio maana yote hayo yanayokea.Yani kinachoenda kutokea ni sawa na rwanda wahutu na watutsi ila tanzania ni ccm na chadema. Itafika muda kupata huduma uwe na kadi ya ccm.
Hivi hawa watu wana shida gani?
Sio mjumbe kivipi?Nimeandika huko juu kuwa, Kiomboi ni mji mdogo,ila Bado wanatumia vitongoji badala ya mitaa.Mwenyekiti wa kitongoji alifata nini WDC wakati yeye sio mjumbe?
Kama ni mji mdogo Sawa ni mjumbe halali.Sio mjumbe kivipi?Nimeandika huko juu kuwa, Kiomboi ni mji mdogo,ila Bado wanatumia vitongoji badala ya mitaa.
Wakati nafanya kazi Halmashauri wenyeviti wa vitongoji hawakuwa wajumbe wa WDC.Inawezekana siku hizi ni wajumbeWaungwana salaam? Ni wazi kuwa CCM haitaki vyama vingi.Leo mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,kilichopo katika Kijiji cha Ruruma,kata ya Kiomboi wilaya ya IRAMBA,ametimuliwa kwenye kikao cha WDC kwa amri ya diwani wa kata hiyo ndugu Omari.Licha ya kuwa yeye ni mjumbe halali wa kikao jicho,alipokea mwaliko wa sms,lakini katika hali ya kushangaza alipoingia ndani ya kikao hicho,kilichofanyika kwenye ofisi za mtendaji wa kata, diwani alimfurusha kama kibaka.Diwani huyu alielewa madaraka ametangaza kutomtambua bwana Timoth kama mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,Kwa kuwa anatokea CHADEMA.Aidha malalamiko yamekwisha wasilishwa kwa DC na kwa ded.
Kabisa,kitingoji sio mjumbe wa WDC bali ni mjumbe wa H/ Kijiji husika,diwani yupo sahihi kumtimuaDiwani ni mwenyekit wa WDC na mwenyekiti wa kitongoji sio mjumbe WDC Mwenyekiti wa kijiji ndio mjumbe halali. Diwani yupo sahihi kulingana sheria za TAMISEMI
Wa vitongiji ni wajumbe wa wdcWaungwana salaam? Ni wazi kuwa CCM haitaki vyama vingi.Leo mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,kilichopo katika Kijiji cha Ruruma,kata ya Kiomboi wilaya ya IRAMBA,ametimuliwa kwenye kikao cha WDC kwa amri ya diwani wa kata hiyo ndugu Omari.Licha ya kuwa yeye ni mjumbe halali wa kikao jicho,alipokea mwaliko wa sms,lakini katika hali ya kushangaza alipoingia ndani ya kikao hicho,kilichofanyika kwenye ofisi za mtendaji wa kata, diwani alimfurusha kama kibaka.Diwani huyu alielewa madaraka ametangaza kutomtambua bwana Timoth kama mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,Kwa kuwa anatokea CHADEMA.Aidha malalamiko yamekwisha wasilishwa kwa DC na kwa ded.
Sheria ipi mwenyekiti wa kitongoji anaingia wdc ?Ungeinukuu hiyo Sheria ungekua umefanya jambo la Muhimu sana Kwa faida ya wengi!
Kwakua hujanukuu tunashindwa kukutofautisha na Diwani!
Kwakua hukuona umuhimu wa kuinukuu au uliona ukapuuza tu tunakufananisha na CCM wa sasa ambao kwao kufuata utaratibu waliojiwekea wenyewe wanaona changamoto na shida!
Jitofautishe na wao itakujengea credibility!
Tuwasilishie Sheria na kanuni zake kama zilivyotungwa na waziri wa tamisemi!
Amechaguliwa kama mwenyekiti wa kitongoji haruhusiwi kuingia kwenye wdc. Itakuwa alikuwa mgeni mwalikwa tu. Lakini si mjumbe halali wa wdcSio mjumbe kivipi?Nimeandika huko juu kuwa, Kiomboi ni mji mdogo,ila Bado wanatumia vitongoji badala ya mitaa.
Ccm mbele kwa mbeleWaungwana salaam? Ni wazi kuwa CCM haitaki vyama vingi.Leo mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,kilichopo katika Kijiji cha Ruruma,kata ya Kiomboi wilaya ya IRAMBA,ametimuliwa kwenye kikao cha WDC kwa amri ya diwani wa kata hiyo ndugu Omari.Licha ya kuwa yeye ni mjumbe halali wa kikao jicho,alipokea mwaliko wa sms,lakini katika hali ya kushangaza alipoingia ndani ya kikao hicho,kilichofanyika kwenye ofisi za mtendaji wa kata, diwani alimfurusha kama kibaka.Diwani huyu alielewa madaraka ametangaza kutomtambua bwana Timoth kama mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,Kwa kuwa anatokea CHADEMA.Aidha malalamiko yamekwisha wasilishwa kwa DC na kwa ded.
Hujui kitu .Amechaguliwa kama mwenyekiti wa kitongoji haruhusiwi kuingia kwenye wdc. Itakuwa alikuwa mgeni mwalikwa tu. Lakini si mjumbe halali wa wdc