LGE2024 Mwenyekiti wa Kitongoji alieshinda (Chadema) atimuliwa kwenye kikao cha WDC Iramba, Singida

LGE2024 Mwenyekiti wa Kitongoji alieshinda (Chadema) atimuliwa kwenye kikao cha WDC Iramba, Singida

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Waungwana salaam? Ni wazi kuwa CCM haitaki vyama vingi.Leo mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,kilichopo katika Kijiji cha Ruruma,kata ya Kiomboi wilaya ya IRAMBA,ametimuliwa kwenye kikao cha WDC kwa amri ya diwani wa kata hiyo ndugu Omari.Licha ya kuwa yeye ni mjumbe halali wa kikao jicho,alipokea mwaliko wa sms,lakini katika hali ya kushangaza alipoingia ndani ya kikao hicho,kilichofanyika kwenye ofisi za mtendaji wa kata, diwani alimfurusha kama kibaka.Diwani huyu alielewa madaraka ametangaza kutomtambua bwana Timoth kama mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,Kwa kuwa anatokea CHADEMA.Aidha malalamiko yamekwisha wasilishwa kwa DC na kwa ded.
Andika vizuri "kikao jicho" ndo nini????
 
Waungwana salaam? Ni wazi kuwa CCM haitaki vyama vingi.Leo mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,kilichopo katika Kijiji cha Ruruma,kata ya Kiomboi wilaya ya IRAMBA,ametimuliwa kwenye kikao cha WDC kwa amri ya diwani wa kata hiyo ndugu Omari.Licha ya kuwa yeye ni mjumbe halali wa kikao jicho,alipokea mwaliko wa sms,lakini katika hali ya kushangaza alipoingia ndani ya kikao hicho,kilichofanyika kwenye ofisi za mtendaji wa kata, diwani alimfurusha kama kibaka.Diwani huyu alielewa madaraka ametangaza kutomtambua bwana Timoth kama mwenyekiti wa kitongoji cha Lowa b,Kwa kuwa anatokea CHADEMA.Aidha malalamiko yamekwisha wasilishwa kwa DC na kwa ded.
CCM ni hatari sn ndiyo kwa Mwigulu Nchemba
 
Sheria ipi mwenyekiti wa kitongoji anaingia wdc ?
Hivi nyie vijana wa Ccm nani amewanyang'anya ubongo?
Nimekuambia ikiwa Kuna Sheria inayomkataza ni vyema ukainukuu na kuileta jammvini kama ulivyosema kwa mujibu wa Sheria ya Tamisemi inataka hivyo! Hii ni Kwa faida ya wengi, na kama haitoshi uoneshe majukumu ya na mamlaka ya Diwani kumfukuza mjumbe yeyote kwenye kikao hicho awe wa chama au asiye wa chama. Badala ya kujibu unauliza tena?
 
Back
Top Bottom