Mwenyekiti wa Machifu: Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu Mpina hayuko peke yake

Mwenyekiti wa Machifu: Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu Mpina hayuko peke yake

Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.

"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”

“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”

“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
Huyu ni mjomba wake na Mpina, hakuna chief hapo
 
Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani,
“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
Nimeguswa na maneno haya kuhusu Bunge letu tukufu, nikakumbuka baadhi ya mabandiko yangu kulihusu Bunge
‐ Thread 'Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?' Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

P
 
Nimeguswa na maneno haya kuhusu Bunge letu tukufu, nikakumbuka baadhi ya mabandiko yangu kulihusu Bunge
‐ Thread 'Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?' Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

P
Bunge la JMT liko kichawachawa tu kusifiasifia tuuuu

Ova
 
Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.

"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”

“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”

“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
85abaa23-7d13-42ec-9b4a-7a95e4f68106.jpeg
 
Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.

"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”

“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”

“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
Fedheha
 

Attachments

  • b3a34e7e631270a9e73fdd13db687369.mp4
    3.6 MB
  • watermark-51a3cc01acd06eefe8d1d23a20c76918_0.jpeg
    watermark-51a3cc01acd06eefe8d1d23a20c76918_0.jpeg
    516.2 KB · Views: 2
Chief Kisendi Josephat Nkingwa ambaye ni Mwenyekiti wa Machifu wa Usukumani, ameyasema hayo wakati akiwa katika viunga vya Bunge ambapo aliambatana na Machifu wengine, pamoja na Mapadri kutembelea Bunge na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina baada ya kumaliza kutumikia adhabu ya kutoshiriki vikao 15 vya Bunge.

"Tumekuja kutoa taarifa Bungeni kwamba Mbunge wetu hayuko peke yake, sisi tunamuunga mkono. hata alipozungumza Bungeni kimetafutwa kipengele kidogo tu katamka neno 'Kodi' badala ya 'Tozo' basi limeshupaliwa mpaka limeonekana ni kama mtu anaangaliwa sasa kama adui.”

“Badala ya kuonekana kama ni mmoja wa wabunge ambao wanaisimamia Serikali. na Bunge kama litazembea, litakuwa linaogopa ogopa linaenda kichwa chawa hivyo, litakosa meno, litakuwa halina maana ya kwamba ni Bunge la kushauri na kuisimamia Serikali, utaishaurije Serikali kama unaisifia tangu mwanzo mpaka mwisho, kana kwamba unaongea kuhusu jopo la malaika. Hapana!”

“Ni lazima ueleze hapa pazuri tulifanikiwa hapa hatukufanikiwa, lakini ile kusifu kila kitu, kila kitu wakati kuna matatizo mengine chungu nzima mnayafunika. Kwa hoja za haraka haraka si sahihi. Bunge likikaa hivyo halina maana ya kuwepo.” - Chief Kisendi Josephat Nkingwa.
Machifu wenye akili zinazojitambua
 
Mpina ni mzushi na ni kipenz cha uongo ni muhimu sana kila neno analotamka likaangaliwa kwa uzito mkubwa maana hakawii kupotosha umma.

halafu mbona kawaleta wazee wachache tu? wazee wengine akina Kimtigiti na Burekizambere mbona hawapo?🐒
Angekuwepo angesema kipi ambacho hakijasemwa?
 
Back
Top Bottom