Yote hayo wanalazimisha apite bila kupingwa, siku zote wanatuambia anakubalika jimboni kwake kwasababu anatoa bure huduma ya kuzika sasa siwamuache apigiwe kura na hao wanaomkubali.
body language ya huyo mama inaonyesha wazi anachoongea uongo .cheki alivyo mkavu yaani ni fix huhitaji kuwa mtaalamu wa saikolojia kujua anachoongea sicho
body language ya huyo mama inaonyesha wazi anachoongea uongo .cheki alivyo mkavu yaani ni fix huhitaji kuwa mtaalamu wa saikolojia kujua anachoongea sicho