Mwenyekiti wa simba - Bilioni 20 zimewekwa kwenye akaunti, siwezi kuitaja benki !!

Mwenyekiti wa simba - Bilioni 20 zimewekwa kwenye akaunti, siwezi kuitaja benki !!

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni kauli ya Murtaza Mangungu ambae ni Mwenye kiti wa Simba,
Ikumbukwa kwamba jana Mo alijiuzulu, hili likitua wengi ila na leo kuna kauli mpya ya Mwenyekiti wa Simba

"Bilioni 20 zimewekwa kwenye akaunti, siwezi kuitaja benki kwa sababu ni jambo ambalo tumekubaliana lisitajwe. Fedha zimetoka kwa mwekezaji na zimewekwa kwenye akaunti maalumu"

Za chini chini ni kwamba hizo Bilioni 20 ni pesa alizogharamia simba kununua wachezaji, kulipia mishahara, safari, hoteli, n.k kuanzia kile kipindi cha 2016, kwa hio ni kama alikuwa anaikopesha simba (hakuna pesa ya bure) hivyo hio bilioni 20 imenunua hisa za umiliki za kumpa Mo umiliki wa simba kwa asilimia 49, lakini sasa hizo Bilioni 20 zilipoingia tu zikafowadiwa kulipia madeni kwenye hela alizokuwa akiikopesha simba.
 
Za chini chini ni kwamba hizo Bilioni 20 ni pesa alizogharamia simba kununua wachezaji, kulipia mishahara, safari, hoteli, n.k kuanzia kile kipindi cha 2016,
Fedha zilizopatikana baada ya kumuuza Tuisila Kisinda, hivi zimewekwa kwenye benki gani na akaunti gani? Ni vyema wananchi tukalifahamu hili pia
 
Ni kauli ya Murtaza Mangungu ambae ni Mwenye kiti mpya wa Simba, Mo aliachia cheo hicho jana na kumpa Mangungu, kwa madai ya kuwa na safari nyingi za nje

"Bilioni 20 zimewekwa kwenye akaunti, siwezi kuitaja benki kwa sababu ni jambo ambalo tumekubaliana lisitajwe. Fedha zimetoka kwa mwekezaji na zimewekwa kwenye akaunti maalumu"

Za chini chini ni kwamba hizo Bilioni 20 ni pesa alizogharamia simba kununua wachezaji, kulipia mishahara, safari, hoteli, n.k kuanzia kile kipindi cha 2016, kwa hio ni kama alikuwa anaikopesha simba (hakuna pesa ya bure) hivyo hio bilioni 20 imenunua hisa za umiliki za kumpa Mo umiliki wa simba kwa asilimia 49, lakini sasa hizo Bilioni 20 zilipoingia tu zikafowadiwa kulipia madeni kwenye hela alizokuwa akiikopesha simba.
Acha ushamba
Mangungu ni mwenyekiti wa Club ya Simba.

Mo Dewji alikuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba holding.

Sasa hivi kapewa kijiti Salum Abdallah Try again the smartest guy kwenye Club ya Simba baada ya Hans Pope.
 
Ni kauli ya Murtaza Mangungu ambae ni Mwenye kiti mpya wa Simba, Mo aliachia cheo hicho jana na kumpa Mangungu, kwa madai ya kuwa na safari nyingi za nje

"Bilioni 20 zimewekwa kwenye akaunti, siwezi kuitaja benki kwa sababu ni jambo ambalo tumekubaliana lisitajwe. Fedha zimetoka kwa mwekezaji na zimewekwa kwenye akaunti maalumu"

Za chini chini ni kwamba hizo Bilioni 20 ni pesa alizogharamia simba kununua wachezaji, kulipia mishahara, safari, hoteli, n.k kuanzia kile kipindi cha 2016, kwa hio ni kama alikuwa anaikopesha simba (hakuna pesa ya bure) hivyo hio bilioni 20 imenunua hisa za umiliki za kumpa Mo umiliki wa simba kwa asilimia 49, lakini sasa hizo Bilioni 20 zilipoingia tu zikafowadiwa kulipia madeni kwenye hela alizokuwa akiikopesha simba.
Kusema tu Murtaza Mangungu Ni Mkiti mpya wa Simba Wala cjasoma Tena huo utopolo wako. Na we Ni Utopolo halisi.
 
Acha ushamba
Mangungu ni mwenyekiti wa Club ya Simba.

Mo Dewji alikuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba holding.

Sasa hivi kapewa kijiti Salum Abdallah Try again the smartest guy kwenye Club ya Simba baada ya Hans Pope.
Hili jamaa lililoleta post Ni liutopolo hata halijui Simba inaongozwaje. Linakurupuka tu. Lisamehe bure.
 
Hapo Mo atapata shida

1. Ipo siku litatokea kundi la wanachama wa Simba litakalofungua kesi kuhitaji kujua fedha alizoikopesha Simba liliidhinishwa na kikao gani cha bodi



2. Ipo siku kuna kundi litatokea litafungua kesi kuchallenge legality ya investor


Yetu Macho
 
Hapo Mo atapata shida

1. Ipo siku litatokea kundi la wanachama wa Simba litakalofungua kesi kuhitaji kujua fedha alizoikopesha Simba liliidhinishwa na kikao gani cha bodi



2. Ipo siku kuna kundi litatokea litafungua kesi kuchallenge legality ya investor


Yetu Macho
Fedha zipi alikopesha? Na yeye amtamka kwa mdomo wake siku ya press ni bure.
Labda kama ni mtu anayeweza kuyakana maneno yake.
 
Kusema tu Murtaza Mangungu Ni Mkiti mpya wa Simba Wala cjasoma Tena huo utopolo wako. Na we Ni Utopolo halisi.
We ni crazy,Murtaza mangungu ndio mwenyekiti wa club ya Simba, MO alikuwa mwenyekiti wa bodi ya uwekezaji
 
We ni crazy,Murtaza mangungu ndio mwenyekiti wa club ya Simba, MO alikuwa mwenyekiti wa bodi ya uwekezaji

Na wewe ni Kichaa Kabisa! Hujaona hapo Mleta Uzi kasema "Murtaza Mangungu ni Mwenyekiti Mpya wa Simba?"

Je Mangungu ni M/Kiti mpya?
 
Hapo Mo atapata shida

1. Ipo siku litatokea kundi la wanachama wa Simba litakalofungua kesi kuhitaji kujua fedha alizoikopesha Simba liliidhinishwa na kikao gani cha bodi



2. Ipo siku kuna kundi litatokea litafungua kesi kuchallenge legality ya investor


Yetu Macho

Endelea kuota ndoto ya "IPO SIKU" kwenye usingizi wa Utopolo.
 
Ponjoro katika ubora wake

Katika suala la Bil 20 hawa makolo fc wakubali tu kuwa wamepigwa peupe na uyo ponjoro
 
Back
Top Bottom