Mwenyekiti wa simba - Bilioni 20 zimewekwa kwenye akaunti, siwezi kuitaja benki !!

Embu yanga tuacheni nyie endereeni na mambo yenu
 
1. Ipo siku litatokea kundi la wanachama wa Simba litakalofungua kesi kuhitaji kujua fedha alizoikopesha Simba liliidhinishwa na kikao gani cha bodi
2. Ipo siku kuna kundi litatokea litafungua kesi kuchallenge legality ya investor
Yetu Macho
Sehemu gani aliposema kwamba alikuwa anaikopesha Simba?
 
Yanga tufokas kwrnye mambo yetu mambo ya simba tuwaa hie wao

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Fedha zilizopatikana baada ya kumuuza Tuisila Kisinda, hivi zimewekwa kwenye benki gani na akaunti gani? Ni vyema wananchi tukalifahamu hili pia
Kumbe kisinda alikuwa mchezaji was Yanga?
 
Fedha zilizopatikana baada ya kumuuza Tuisila Kisinda, hivi zimewekwa kwenye benki gani na akaunti gani? Ni vyema wananchi tukalifahamu hili pia
Anzisha Uzi wake,sisi tunahoji fedha za ponjoro kaweka akaunti ipi
 
Fedha zilizopatikana baada ya kumuuza Tuisila Kisinda, hivi zimewekwa kwenye benki gani na akaunti gani? Ni vyema wananchi tukalifahamu hili pia
Pesa za kisinda babu ndio zimenunua moloko na bangala,half yake ndio ile camp ya morocco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…