Mungu sio munguIpo siku watamtukana ata mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu sio munguIpo siku watamtukana ata mungu
Toa utetezi wakoHapana ndugu sio sahihi
Wakisoma watanuna sana.Hivi siyo tupo katikati ya uchumi(mchumiko wa kati)😂😂😂😂😂😂😂Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
CCM imetufikisha hapa.
Hata Mugabe(R.I.P) alikuwa na vijana kama hawaHuyu kijana anajipa u mungu mtu katika kauli zake.
May go to hellKatika hali inayoonekana kulewa madaraka na utovu wa nidhamu nchini, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kheri James ametoa maneno yasiyo na staha kwa viongozi wetu wa kiroho nchini kwa kuwaambia kuwa washike adabu zao.
Hii inafuatia baada ya viongozi hao akiwemo Sheikh Ponda, Baba Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki na Baba Askofu Bagonza, Baba Askofu Mwamakula, Sheikh Katimba na wengineo kutaka Uchaguzi utendeke kwa haki na kwamba tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC itende haki katika Uchaguzi kwa kutoengua wagombea wa upinzani bila sababu za msingi.
Kijana huyo aneyeonekana amevimbiwa madaraka ambapo mara kadhaa amekua akitoa kauli za kuashiria vurugu, kuchochea vurugu nchini hasa pale alipokuwa akihimiza wanachama wa UVCCM kuwa tayari kuwapiga wapinzani.
Majuzi Dr Bashiru alitoa kauli kuwataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani lakini badala ya kujibu hoja za wapinzani Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM anashambulia na kutukana Mababa Askofu na Masheikh nchini.
Hii inaonyesha ni kwa namna gani Chama Cha Mapinduzi kwa sasa chini ya Mwenyekiti wake ndugu Magufuli na Katibu wake Mkuu ndugu Bashiru Ally kimeshindwa kuthibiti nidhamu ndani ya Chama hicho.
Kimekuwa ni Chama kisichopenda kuambiwa ukweli, bali kusifiwa na kupewa maneno ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa
Hapa chini hii ni video ikimuonyesha kijana huyo akitukana na kufokea viongozi wetu wa dini.
Nikiwa na maana wapo ambao hawakuyafanya hayo yanayofanywa na baadhi ya hawa wasio kuwa na ethics za kiuongozi, hao walikuwepo na watakuja na wengine lakini si wote wenye laanaToa utetezi wako
Hako kajamaa ka uvccm huwa kanavuta Bangi sanaNa hili ndo tatizo la kugawa vyeo kwa undugu bila merit, anajua hakuna wa kumgusa kwa sababu kashikwa mkono akae pale
Katika hali inayoonekana kulewa madaraka na utovu wa nidhamu nchini, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kheri James ametoa maneno yasiyo na staha kwa viongozi wetu wa kiroho nchini kwa kuwaambia kuwa washike adabu zao.
Hii inafuatia baada ya viongozi hao akiwemo Sheikh Ponda, Baba Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki na Baba Askofu Bagonza, Baba Askofu Mwamakula, Sheikh Katimba na wengineo kutaka Uchaguzi utendeke kwa haki na kwamba tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC itende haki katika Uchaguzi kwa kutoengua wagombea wa upinzani bila sababu za msingi.
Kijana huyo aneyeonekana amevimbiwa madaraka ambapo mara kadhaa amekua akitoa kauli za kuashiria vurugu, kuchochea vurugu nchini hasa pale alipokuwa akihimiza wanachama wa UVCCM kuwa tayari kuwapiga wapinzani.
Majuzi Dr Bashiru alitoa kauli kuwataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani lakini badala ya kujibu hoja za wapinzani Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM anashambulia na kutukana Mababa Askofu na Masheikh nchini.
Hii inaonyesha ni kwa namna gani Chama Cha Mapinduzi kwa sasa chini ya Mwenyekiti wake ndugu Magufuli na Katibu wake Mkuu ndugu Bashiru Ally kimeshindwa kuthibiti nidhamu ndani ya Chama hicho.
Kimekuwa ni Chama kisichopenda kuambiwa ukweli, bali kusifiwa na kupewa maneno ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa
Hapa chini hii ni video ikimuonyesha kijana huyo akitukana na kufokea viongozi wetu wa dini.
Mfalme wa kusini 😁😁Ipo siku watamtukana ata mungu
Katika hali inayoonekana kulewa madaraka na utovu wa nidhamu nchini, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kheri James ametoa maneno yasiyo na staha kwa viongozi wetu wa kiroho nchini kwa kuwaambia kuwa washike adabu zao.
Hii inafuatia baada ya viongozi hao akiwemo Sheikh Ponda, Baba Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki na Baba Askofu Bagonza, Baba Askofu Mwamakula, Sheikh Katimba na wengineo kutaka Uchaguzi utendeke kwa haki na kwamba tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC itende haki katika Uchaguzi kwa kutoengua wagombea wa upinzani bila sababu za msingi.
Kijana huyo aneyeonekana amevimbiwa madaraka ambapo mara kadhaa amekua akitoa kauli za kuashiria vurugu, kuchochea vurugu nchini hasa pale alipokuwa akihimiza wanachama wa UVCCM kuwa tayari kuwapiga wapinzani.
Majuzi Dr Bashiru alitoa kauli kuwataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani lakini badala ya kujibu hoja za wapinzani Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM anashambulia na kutukana Mababa Askofu na Masheikh nchini.
Hii inaonyesha ni kwa namna gani Chama Cha Mapinduzi kwa sasa chini ya Mwenyekiti wake ndugu Magufuli na Katibu wake Mkuu ndugu Bashiru Ally kimeshindwa kuthibiti nidhamu ndani ya Chama hicho.
Kimekuwa ni Chama kisichopenda kuambiwa ukweli, bali kusifiwa na kupewa maneno ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa
Hapa chini hii ni video ikimuonyesha kijana huyo akitukana na kufokea viongozi wetu wa dini.
Sikio limeanza kuzidi kichwa. Anachokitafuta atakipata.Mpwa anapopewa cheo kikubwa kwenye ufalme wa mjomba. Atataka amkalie kila moja