Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM atukana viongozi wa dini nchini, asema washike adabu zao!

Status
Not open for further replies.
Huyu heri bila shaka akili yake ni kibaba. Hakuna siku anapoongea jbo la maana.

Huyu naambiwa ni ndugu yake Mwenyekiti. Labda amerithi baadhi ya genes za tabia ya mjomba maana naye kwa kuropoka, hajambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)

CCM imetufikisha hapa.
Wakisoma watanuna sana.Hivi siyo tupo katikati ya uchumi(mchumiko wa kati)😂😂😂😂😂😂😂
 
Hivi UVCCM wana maslahi gani na engua engua? Hebu tazama!
Aliye engua wagombea ni tume.
Walioenguliwa ni wapinzani
Wanaokemea engua engua ni viongozi wa kiroho
Wanaolalamikiwa kwa engua engua ni tume!
Wanaochachamaa kupinga kemea ya viongozi wa kiroho kuhusu engua enguani ni UVCCM!!
Tume wako kimya, wameyasikia ya viongozi wa kiroho, na huenda wagombea wanaorejeshwa ni kwa kuitikia wito wa viongozi hao wa kiroho.
Hivi UVCCM mbona mnajifanya kurugenzi ya tume ya uchaguzi?
Katibu Mkuu wa CCM amewatuma kujibu hoja za wapinzani, kwa maana ya CUF, NCCR, ACT, CHADEMA, TLP n.k.
K.K.K.T, AGAPE, R.C, BAKWATA, HINDU n.k. si sehemu ya wapinzani. Hujawahi kusikia wanashambulia CCM. Wao wako busy na kunyoosha mfumo wa utawala kwa kujibu wa katiba ya Tanzania, wala hawajui katiba ya CCM inasemaje, haiwahusu.
Hii tume ya uchaguzi ni tume ya Taifa siyo ya CCM, Iache ijijibie tuhuma zao, CCM kujibu tuhuma za Tume ni kijivika koti lisilolako.
 
Duuu haki ya nani, kweli tuna kazi kulea vijana kama hawa.
 
May go to hell
 
Hivi ameoa au kuolewa huyu jamaa au ni Pole Pole, Patambi, Kunambi Type
 
Huyu kijana ni mpuuzi na hana adabu kabisa ... Huu ujinga haukuwepo siku za nyuma mpaka awamu hii ilipoanza. Ubabe wa bwana mkubwa unawapa kiburi subordinates wake.

Awamu hii imethibitisha kuwa katiba mpya inahitajika sana .... DC wa awmu hii utafikiri ni wa enzi za Mkoloni!!
 
Na hili ndo tatizo la kugawa vyeo kwa undugu bila merit, anajua hakuna wa kumgusa kwa sababu kashikwa mkono akae pale
 
Chama cha wahuni
 
Hofu ya kushindwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…