Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammedi Kawaida akiwa amebeba Jeneza lenye Mwili wa Michael Kalinga

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammedi Kawaida akiwa amebeba Jeneza lenye Mwili wa Michael Kalinga

Kifo cha ali kibao au utekwaji wa dev soka na huu wa juzi wa abdul nondo mbn sijaona makala yako hapa jukwaani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohammedi Kawaida .Kwa uchungu,maumivu,simanzi ,majonzi na huzuni isiyopimika wala kuelezeka .

Ameshiriki na kuhusika katika shughuli zote za kuaga na kuupumzisha Mwili wa Mwenyekiti wa UVCCM Tawi la Machinjioni Makongorosi wilayani Chunya Mkoani Mbeya, Marehemu Michael Kalinga katika Nyumba yake ya Milele.alipoteza Maisha kutokana na kuuwawa kikatili na baadaye Mwili wake kutelekezwa.

Ambapo Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Ameweza kubeba Mabegani pake Jeneza Lenye Mwili wa Marehemu Michael Kalinga ambaye kwa sasa Ametangulia Mbele za Haki.

Kwa hakika kifo kinaumiza sana na wala hakizoeleki hata kidogo,hasa pale ambapo kifo hicho kimetokana na kukatishwa uhai na watu wenye roho za kishetani na waliojaa ushetani ndani yao. Kwa hakika Watanzania wote hatuna budi kukemea vikali sana matukio ya namna hii bila kujali itikadi zetu za kisiasa.. Ni lazima tukatae kabisa kumwagilia ardhi yetu kwa Damu zisizo na hatia.

Kwa sababu Damu ya mtu inazungumza hata kama mdomo na kinywa chake kimefumba.Kwa hiyo Damu zisizo na Hatia zikianza kuzungumza na kulia kwa wingi kutoka Mavumbini zilipomwagwa kuelekeza kilio chake machoni, usoni na masikioni pa Mwenyezi Mungu .Basi inaweza kuleta dhahama kutoka kwa Mungu Mwenyewe pale atakapoamua kusikiliza Madai na kilio cha Damu hizo zilizomwagwa Bila Hatia.

Vilio hivyo vinaweza kuwa vingi masikioni pa Mungu pale ambapo Damu zitaanza kuzungumza kutokea Mavumbini, huku pia vilio vikali vikitokea kutoka kwenye vinywa vya wajane na yatima walioachwa na kunyimwa haki ya kuwa na wazazi wao ambao wanajua wamekatishwa uhai wao kikatili na kwa maonezi. Mungu anaweza kujibu Mapigo na ikawa balaa kwelikweli kwa wahusika wote.

Watanzania Tujizuie kumwaga Damu zisizo na hatia kwa kila njia na kila mbinu iwezekanavyo.Tusiue mtu yeyote yule asiye na hatia.iwe ni kwa imani za kishirikina au chuki binafsi au kutumiwa na watu au kwa malipo ya pesa au kwa kutafuta utajiri au kwa kulipa kisasi au visasi au kukomeshana au wivu tu na mengine mengi ya aina hiyo .

Michael Kalinga Amepigana vita vilivyo vizuri ,Mwendo Ameumaliza na Imani Ameilinda.View attachment 3169192
Ungewashauri ndugu zako kwanza
 
Mimi naguswa na vifo vya watu wote wanao uwawa bila hatia .ndio maana nasema tukemee na kulaani vitendo hivyo na kulitaka jeshi la polisi kuwasaka waliohusika.huku sisi watanzania tukitoa ushirikiano kwa jeshi letu.
Nitajie mmoja aliyeuwawa kwa kuwa na hatia.
 
Nitajie mmoja aliyeuwawa kwa kuwa na hatia.
Mahakama pekee ndio yenye uwezo wa kutoa hukumu na kusema mtu huyu kutokana na makosa haya na haya yaliyothibitishwa bila kuacha shaka ya aina yoyote ile anatakiwa kunyongwa hadi kufa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohammedi Kawaida .Kwa uchungu,maumivu,simanzi ,majonzi na huzuni isiyopimika wala kuelezeka .

Ameshiriki na kuhusika katika shughuli zote za kuaga na kuupumzisha Mwili wa Mwenyekiti wa UVCCM Tawi la Machinjioni Makongorosi wilayani Chunya Mkoani Mbeya, Marehemu Michael Kalinga katika Nyumba yake ya Milele.alipoteza Maisha kutokana na kuuwawa kikatili na baadaye Mwili wake kutelekezwa.

Ambapo Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Ameweza kubeba Mabegani pake Jeneza Lenye Mwili wa Marehemu Michael Kalinga ambaye kwa sasa Ametangulia Mbele za Haki.

Kwa hakika kifo kinaumiza sana na wala hakizoeleki hata kidogo,hasa pale ambapo kifo hicho kimetokana na kukatishwa uhai na watu wenye roho za kishetani na waliojaa ushetani ndani yao. Kwa hakika Watanzania wote hatuna budi kukemea vikali sana matukio ya namna hii bila kujali itikadi zetu za kisiasa.. Ni lazima tukatae kabisa kumwagilia ardhi yetu kwa Damu zisizo na hatia.

Kwa sababu Damu ya mtu inazungumza hata kama mdomo na kinywa chake kimefumba.Kwa hiyo Damu zisizo na Hatia zikianza kuzungumza na kulia kwa wingi kutoka Mavumbini zilipomwagwa kuelekeza kilio chake machoni, usoni na masikioni pa Mwenyezi Mungu .Basi inaweza kuleta dhahama kutoka kwa Mungu Mwenyewe pale atakapoamua kusikiliza Madai na kilio cha Damu hizo zilizomwagwa Bila Hatia.

Vilio hivyo vinaweza kuwa vingi masikioni pa Mungu pale ambapo Damu zitaanza kuzungumza kutokea Mavumbini, huku pia vilio vikali vikitokea kutoka kwenye vinywa vya wajane na yatima walioachwa na kunyimwa haki ya kuwa na wazazi wao ambao wanajua wamekatishwa uhai wao kikatili na kwa maonezi. Mungu anaweza kujibu Mapigo na ikawa balaa kwelikweli kwa wahusika wote.

Watanzania Tujizuie kumwaga Damu zisizo na hatia kwa kila njia na kila mbinu iwezekanavyo.Tusiue mtu yeyote yule asiye na hatia.iwe ni kwa imani za kishirikina au chuki binafsi au kutumiwa na watu au kwa malipo ya pesa au kwa kutafuta utajiri au kwa kulipa kisasi au visasi au kukomeshana au wivu tu na mengine mengi ya aina hiyo .

Michael Kalinga Amepigana vita vilivyo vizuri ,Mwendo Ameumaliza na Imani Ameilinda.View attachment 3169192
Komeni machoko nyie
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohammedi Kawaida .Kwa uchungu,maumivu,simanzi ,majonzi na huzuni isiyopimika wala kuelezeka .

Ameshiriki na kuhusika katika shughuli zote za kuaga na kuupumzisha Mwili wa Mwenyekiti wa UVCCM Tawi la Machinjioni Makongorosi wilayani Chunya Mkoani Mbeya, Marehemu Michael Kalinga katika Nyumba yake ya Milele.alipoteza Maisha kutokana na kuuwawa kikatili na baadaye Mwili wake kutelekezwa.

Ambapo Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Ameweza kubeba Mabegani pake Jeneza Lenye Mwili wa Marehemu Michael Kalinga ambaye kwa sasa Ametangulia Mbele za Haki.

Kwa hakika kifo kinaumiza sana na wala hakizoeleki hata kidogo,hasa pale ambapo kifo hicho kimetokana na kukatishwa uhai na watu wenye roho za kishetani na waliojaa ushetani ndani yao. Kwa hakika Watanzania wote hatuna budi kukemea vikali sana matukio ya namna hii bila kujali itikadi zetu za kisiasa.. Ni lazima tukatae kabisa kumwagilia ardhi yetu kwa Damu zisizo na hatia.

Kwa sababu Damu ya mtu inazungumza hata kama mdomo na kinywa chake kimefumba.Kwa hiyo Damu zisizo na Hatia zikianza kuzungumza na kulia kwa wingi kutoka Mavumbini zilipomwagwa kuelekeza kilio chake machoni, usoni na masikioni pa Mwenyezi Mungu .Basi inaweza kuleta dhahama kutoka kwa Mungu Mwenyewe pale atakapoamua kusikiliza Madai na kilio cha Damu hizo zilizomwagwa Bila Hatia.

Vilio hivyo vinaweza kuwa vingi masikioni pa Mungu pale ambapo Damu zitaanza kuzungumza kutokea Mavumbini, huku pia vilio vikali vikitokea kutoka kwenye vinywa vya wajane na yatima walioachwa na kunyimwa haki ya kuwa na wazazi wao ambao wanajua wamekatishwa uhai wao kikatili na kwa maonezi. Mungu anaweza kujibu Mapigo na ikawa balaa kwelikweli kwa wahusika wote.

Watanzania Tujizuie kumwaga Damu zisizo na hatia kwa kila njia na kila mbinu iwezekanavyo.Tusiue mtu yeyote yule asiye na hatia.iwe ni kwa imani za kishirikina au chuki binafsi au kutumiwa na watu au kwa malipo ya pesa au kwa kutafuta utajiri au kwa kulipa kisasi au visasi au kukomeshana au wivu tu na mengine mengi ya aina hiyo .

Michael Kalinga Amepigana vita vilivyo vizuri ,Mwendo Ameumaliza na Imani Ameilinda.View attachment 3169192
Kuna vifo vya wanasiasa wengine vinauma lakini ila vya wengine haviumi (wapinzani) mahala tumefika ni pabaya sana sisi ni ndugu Kwanini tutoane uhai kisa siasa? Inasikitisha sana
 
Mahakama pekee ndio yenye uwezo wa kutoa hukumu na kusema mtu huyu kutokana na makosa haya na haya yaliyothibitishwa bila kuacha shaka ya aina yoyote ile anatakiwa kunyongwa hadi kufa.
Sijawahi kuona uzi wako ukilaani mauaji ya watu wasio na hatia ya Mzee Kibao, au yale ya juzi wakati wa uchafuzi wa TAMISEMI.
 
Ningependa tuondoe hisia na kuweka itikadi zetu za kisiasa katika mambo yanayogusa uhai wa mtu. Uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu Mwenyewe ambayo tunapaswa kujivunia na kutohusika kwa namna yoyote ile kukatisha uhai wa mtu asiye na hatia kwa sababu ya aina yoyote ile.
Uhai wa Mwana CCM una thamani zaidi ya yule asiye mwana ccm, au unsemaje Kiongozi Lucas.?
 
Watanzania tuhakikishe ya kuwa itikadi za kisiasa hazitugawi na kuanza kufurahia vifo vya watu vinapotokea kwa kuangalia na kutanguliza uchama .tusifike hatua ya kusema huyu ni wa kwetu na huyu hatuhusu
analeta mpasuko na nani kama si vyombo vyenye dhamana? Na wana siasa wa upande wenu?
Mara ngapi upinzani wanafanyiwa matukio ya kinyama wanalalamika ila hawasikilizwi, akiguswa wenu mna tafuta huruma?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohammedi Kawaida .Kwa uchungu,maumivu,simanzi ,majonzi na huzuni isiyopimika wala kuelezeka.

Ameshiriki na kuhusika katika shughuli zote za kuaga na kuupumzisha Mwili wa Mwenyekiti wa UVCCM Tawi la Machinjioni Makongorosi wilayani Chunya Mkoani Mbeya, Marehemu Michael Kalinga katika Nyumba yake ya Milele.alipoteza Maisha kutokana na kuuwawa kikatili na baadaye Mwili wake kutelekezwa.

Ambapo Mwenyekiti huyo wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Ameweza kubeba Mabegani pake Jeneza Lenye Mwili wa Marehemu Michael Kalinga ambaye kwa sasa Ametangulia Mbele za Haki.

Kwa hakika kifo kinaumiza sana na wala hakizoeleki hata kidogo,hasa pale ambapo kifo hicho kimetokana na kukatishwa uhai na watu wenye roho za kishetani na waliojaa ushetani ndani yao. Kwa hakika Watanzania wote hatuna budi kukemea vikali sana matukio ya namna hii bila kujali itikadi zetu za kisiasa.. Ni lazima tukatae kabisa kumwagilia ardhi yetu kwa Damu zisizo na hatia.

Kwa sababu Damu ya mtu inazungumza hata kama mdomo na kinywa chake kimefumba.Kwa hiyo Damu zisizo na Hatia zikianza kuzungumza na kulia kwa wingi kutoka Mavumbini zilipomwagwa kuelekeza kilio chake machoni, usoni na masikioni pa Mwenyezi Mungu .Basi inaweza kuleta dhahama kutoka kwa Mungu Mwenyewe pale atakapoamua kusikiliza Madai na kilio cha Damu hizo zilizomwagwa Bila Hatia.

Vilio hivyo vinaweza kuwa vingi masikioni pa Mungu pale ambapo Damu zitaanza kuzungumza kutokea Mavumbini, huku pia vilio vikali vikitokea kutoka kwenye vinywa vya wajane na yatima walioachwa na kunyimwa haki ya kuwa na wazazi wao ambao wanajua wamekatishwa uhai wao kikatili na kwa maonezi. Mungu anaweza kujibu Mapigo na ikawa balaa kwelikweli kwa wahusika wote.

Watanzania Tujizuie kumwaga Damu zisizo na hatia kwa kila njia na kila mbinu iwezekanavyo.Tusiue mtu yeyote yule asiye na hatia.iwe ni kwa imani za kishirikina au chuki binafsi au kutumiwa na watu au kwa malipo ya pesa au kwa kutafuta utajiri au kwa kulipa kisasi au visasi au kukomeshana au wivu tu na mengine mengi ya aina hiyo.

Michael Kalinga Amepigana vita vilivyo vizuri, Mwendo Ameumaliza na Imani Ameilinda.

Hapa DAR mateja na vibaka hudai swawabu zao huzipata kwenye kubeba majeneza ukipita msafara wa mazishini

Malaria 2 tupe Aya ya Quran
 
Hapa DAR mateja na vibaka hudai swawabu zao huzipata kwenye kubeba majeneza ukipita msafara wa mazishini

Malaria 2 tupe Aya ya Quran
Waislam tunatakiwa tushiriki kikamilifu kushuriki mazishi za Waislamu we zetu kuna fadhila kubwa.
Mtume Muhammad (SAW) amesema:

"Muislamu ana haki tano juu ya ndugu yake: kujibu salamu, kumtembelea mgonjwa, kushirikiana kwenye jeneza lake, kuitikia mwaliko, na kumtakia dua yule anayepiga chafya."
(Bukhari, Hadithi 1240; Muslim, Hadithi 2162)

KUHUSU VIBAKA KUBEBA JENEZA KAMA NDUGU ULIVYOTAKA HILO SINA UJUZI NALO SANA. WALLAH AAALAM
 
Back
Top Bottom