Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammedi Kawaida akiwa amebeba Jeneza lenye Mwili wa Michael Kalinga

Kwa pamoja tukemee mauaji ya watu wasio na hatia

Hakuna mtu aliye juu ya sheria. Kutofautiana kifikra sio kosa. Ila siku hizi watu wengine mpaka wanaishia kuuana au kuuwawa. Na kibaya ni kama wanaoua hawakamatiki. Unajiuliza kulikoni?

Nawapa pole wafiwa. Nimesoma mahali kifo chake kinahusiana na mambo ya biashara. Ila wote wanaofanya uuaji lazima washughulikiwe ipasavyo.

Hii sio jamii ya wauaji. Haya mambo yametokea wapi na kama yanazidi kuongezeka
 
Sawa tu yaani
Mbona yule mgombea wa chadema manyoni alifuatwa nyumbani kwake na kupigwa risasi kiunoni alizikwa?
Yule wa Gongolamboto tuliambiwa alikufa kwa pressure kazikwa.
Yule wa songwe ?
Ben sanane yupo wapi?
Alphoso Mawazo yupo wapi?
Anzory gwanda yupo wapi?
Deo soka yupo wapi?
Wale walikuwa binadamu kama wewe na mimi na walivyokufa ndugu jamaa na marafiki waliambulia kejeli na michbo tu.
 
Nimebubujikwa mimi, ila tulisha ambiwa kifo ni kifo tu
 
Yule mwanamama ccm iringa kuingozi waliyomua kwa kumpiga
Wauaji wamekamatwa au

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…