Mwenyekiti wa UWT: Tunaziomba taasisi mbalimbali duniani zimpe Rais Samia tuzo

Uchawa mtupu.
Viongozi wanategemea machawa siyo uwezo wa kuongoza bali watakaowasifia
 
wanaccm mnapoelekea mtatengeneza mungu wenu .
 
Upuuzi mtupu.mmeshindwa kutatua changamoto zinazowakumba wananchi mnaanza kuomba tuzo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…