Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira (NETO) aachiwa kwa dhamana kwa shtaka la kujihusisisha na jumuiya isiyo na usajili

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira (NETO) aachiwa kwa dhamana kwa shtaka la kujihusisisha na jumuiya isiyo na usajili

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza, amepewa dhamana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita baada ya kushikiliwa kwa upelelezi kuhusu ushiriki wake katika jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na NETO tarehe 25 Februari 2025, Kaheza alikamatwa mnamo 24 Februari 2025 na baadaye kuachiwa kwa dhamana huku uchunguzi ukiendelea.

NETO imeishukuru jamii ya wanasheria, mashirika ya haki za binadamu kama THRDC na TLS, pamoja na vyombo vya habari na watu wote waliounga mkono juhudi za kuhakikisha kiongozi wao anaachiwa.

Aidha, NETO imesisitiza kuwa si chama cha siasa na hakihusiani na migomo yoyote, bali ni jukwaa la walimu wasio na ajira kushirikiana kupitia mitandao ya kijamii. Umoja huo umesisitiza kwamba utaendelea kuishinikiza serikali kutoa ajira kwa walimu waliomaliza mafunzo yao kati ya mwaka 2015 na 2023, kutokana na uhitaji mkubwa wa walimu mashuleni.

"Tuna matumaini kuwa maombi yetu yatafanyiwa kazi kwa wakati," amesema Daniel Edgar Mkinga, Katibu Mkuu wa NETO, akihitimisha taarifa hiyo.

Ujumbe kutoka kwa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC)

View attachment 3249412
Mwanao naye atasomea ualimu,atakumbana na kukosa ajira​
 
Hawa NETO ni MATOKEO ya elimu mbovu tuliyo nayo ukweli mchungu ni kwamba zaidi ya 90,% ya kada ya ualimu hawakuandaliwa kiushindani katika soko la ajira. Leo wanaona wanaonewa wakati Kuna maelf ya watu wamesoma HR, Gas engineering, petroleum engineering, socialogy nk wako mtaani wanapambana kila siku na bahasha BILA mafanikio.

ENDAPO SERIKALI itakubali KUWEPO Kwa VIKUNDI hivi visivyo Rasmi ni SWALA LA muda vitaanza kutumika kiuanaharakati na madhara yake ni MAKUBWA.

Lazima ifike mahali tukubali haipo SERIKALI inayoweza kumudu ajira Kwa 100%, HAIPO. kujifanya wao ni muhimu sana Kwa JAMII sio sawa. Zipo kada nyingi zinastrugle kila kukicha na hawajaonesha mihemko hii ya kutoka misuli wakati WA kuongea....

Emagine KATIBU ni mwalimu anamfundisha mwanao shuleni. Private sekta usaili Kwa mwalimu ni kawaida kabisaaaaa Kwa sababu Wanataka kilichobora.

Na hawatafikia LENGO lao Kwa sababu SERIKALI haiwezi kuwaajiri WOTE... HAIWEZI HATA ARDHI IPASUKE HUU NDO UKWELII.
Usichokijua kuhusu interview za walimu serikalini ni tofauti na hizo nyingine

Interview za walimu private zipo clear kabisa mtu anaenda kupiga Pepa lineshiba nondo za advance pamoja na kufundisha ila interview hizi za serikali zina changamoto kubwa

Mtu unaenda kwenye interview hujui hata coverage ya interview: O level, advance na chuo

Halafu maswali multiple choice 25 written, kuanzia O level hadi chuo

Oral hivyo hivyo

Mimi nilipiga msuli wa chemistry O level na advance sikukuta swali hata moja na likatoka kwenye oral swali la chemistry ya chuo

Kwenye Bios nikasema nisisome contents za somo nipige course za education, mambo yakabadilika wakauliza huko huko kwenye written na oral na ukizngua maswali 3 au 4 ya written unaliwa

NB
Hata wewe ukifanyishwa interview kuanzia O level, advance hadi chuo lazima itakuwa ngumu tu

Isitoshe watu wanafanya shughuli zao za mtaani washaacha habari za kufundisha au kujitolea

INTERVIEW ni muhimu ila hizi hazipimi uhalisia wa mwalimu bora
 
Kweli tu
Hawa NETO ni MATOKEO ya elimu mbovu tuliyo nayo ukweli mchungu ni kwamba zaidi ya 90,% ya kada ya ualimu hawakuandaliwa kiushindani katika soko la ajira. Leo wanaona wanaonewa wakati Kuna maelf ya watu wamesoma HR, Gas engineering, petroleum engineering, socialogy nk wako mtaani wanapambana kila siku na bahasha BILA mafanikio.

ENDAPO SERIKALI itakubali KUWEPO Kwa VIKUNDI hivi visivyo Rasmi ni SWALA LA muda vitaanza kutumika kiuanaharakati na madhara yake ni MAKUBWA.

Lazima ifike mahali tukubali haipo SERIKALI inayoweza kumudu ajira Kwa 100%, HAIPO. kujifanya wao ni muhimu sana Kwa JAMII sio sawa. Zipo kada nyingi zinastrugle kila kukicha na hawajaonesha mihemko hii ya kutoka misuli wakati WA kuongea....

Emagine KATIBU ni mwalimu anamfundisha mwanao shuleni. Private sekta usaili Kwa mwalimu ni kawaida kabisaaaaa Kwa sababu Wanataka kilichobora.

Na hawatafikia LENGO lao Kwa sababu SERIKALI haiwezi kuwaajiri WOTE... HAIWEZI HATA ARDHI IPASUKE HUU NDO UKWELII.
naongozwa na akili mdogo Sana kama mawazo yako yameishia hapa. Maana waliowengi wanaoshabikia udhalimu huu ni wanufaika wa mfumo mbovu wa Ma CCM.
 
Hawa NETO ni MATOKEO ya elimu mbovu tuliyo nayo ukweli mchungu ni kwamba zaidi ya 90,% ya kada ya ualimu hawakuandaliwa kiushindani katika soko la ajira. Leo wanaona wanaonewa wakati Kuna maelf ya watu wamesoma HR, Gas engineering, petroleum engineering, socialogy nk wako mtaani wanapambana kila siku na bahasha BILA mafanikio.

ENDAPO SERIKALI itakubali KUWEPO Kwa VIKUNDI hivi visivyo Rasmi ni SWALA LA muda vitaanza kutumika kiuanaharakati na madhara yake ni MAKUBWA.

Lazima ifike mahali tukubali haipo SERIKALI inayoweza kumudu ajira Kwa 100%, HAIPO. kujifanya wao ni muhimu sana Kwa JAMII sio sawa. Zipo kada nyingi zinastrugle kila kukicha na hawajaonesha mihemko hii ya kutoka misuli wakati WA kuongea....

Emagine KATIBU ni mwalimu anamfundisha mwanao shuleni. Private sekta usaili Kwa mwalimu ni kawaida kabisaaaaa Kwa sababu Wanataka kilichobora.

Na hawatafikia LENGO lao Kwa sababu SERIKALI haiwezi kuwaajiri WOTE... HAIWEZI HATA ARDHI IPASUKE HUU NDO UKWELII.
TUNAKATAA UHUNI NA UBABAISHAJI KWENYE INTERVIEW.
Mwalimu hawezi kufanana level of thinking na kada zingine. Hao uliowataja #Sociology #HR # n.k hawawezi kufanana na mwalimu level of thinking kwani mwalimu yupo juu yao.
Mwalimu anafuta ujinga ndio hao wanapatikana wa kada zingine sasa iweje tumuweke mwalimu same level of thinking na wa kada zingine.
Mfano mzuri ni wewe, unahitaji mwalimu tena wa kukutoa hapo ulipo ili uamke zaidi ksma hujaona madai ya walimu wale bado level yako ya kufikiri ipo chini.
 
Usichokijua kuhusu interview za walimu serikalini ni tofauti na hizo nyingine

Interview za walimu private zipo clear kabisa mtu anaenda kupiga Pepa lineshiba nondo za advance pamoja na kufundisha ila interview hizi za serikali zina changamoto kubwa

Mtu unaenda kwenye interview hujui hata coverage ya interview: O level, advance na chuo

Halafu maswali multiple choice 25 written, kuanzia O level hadi chuo

Oral hivyo hivyo

Mimi nilipiga msuli wa chemistry O level na advance sikukuta swali hata moja na likatoka kwenye oral swali la chemistry ya chuo

Kwenye Bios nikasema nisisome contents za somo nipige course za education, mambo yakabadilika wakauliza huko huko kwenye written na oral na ukizngua maswali 3 au 4 ya written unaliwa

NB
Hata wewe ukifanyishwa interview kuanzia O level, advance hadi chuo lazima itakuwa ngumu tu

Isitoshe watu wanafanya shughuli zao za mtaani washaacha habari za kufundisha au kujitolea

INTERVIEW ni muhimu ila hizi hazipimi uhalisia wa mwalimu bora
Waliopita wamewezaje?
 
Kama tuu waalimu wanashindwa kuwa professional kwenye kazi zao mpaka wanashindwa kusajili chama chao, je wataweza kuwafundisha wanafunzi na kuelewa? 😂
 
Jitahidini

Pambaneni Vijana kudai haki yenu. Haki haiombwi inadaiwa. Kuna gharama kubwa sana kujitoa mhanga kwa ajili ya wengi. Msiogope songeni mbele, hii nchi ni yetu sote
Haki yao ya kuajiriwa?
 
KWANZA CHONDE CHONDE UTUMISHI MWALIMU YOYOTE WA KATI YA 2015 MPAKA 2020 ALIYEFIKA ORAL NA AKAPATA TU HATA 50% YA MATOKEO YA ORAL MSIMUACHE.
 
Usichokijua kuhusu interview za walimu serikalini ni tofauti na hizo nyingine

Interview za walimu private zipo clear kabisa mtu anaenda kupiga Pepa lineshiba nondo za advance pamoja na kufundisha ila interview hizi za serikali zina changamoto kubwa

Mtu unaenda kwenye interview hujui hata coverage ya interview: O level, advance na chuo

Halafu maswali multiple choice 25 written, kuanzia O level hadi chuo

Oral hivyo hivyo

Mimi nilipiga msuli wa chemistry O level na advance sikukuta swali hata moja na likatoka kwenye oral swali la chemistry ya chuo

Kwenye Bios nikasema nisisome contents za somo nipige course za education, mambo yakabadilika wakauliza huko huko kwenye written na oral na ukizngua maswali 3 au 4 ya written unaliwa

NB
Hata wewe ukifanyishwa interview kuanzia O level, advance hadi chuo lazima itakuwa ngumu tu

Isitoshe watu wanafanya shughuli zao za mtaani washaacha habari za kufundisha au kujitolea

INTERVIEW ni muhimu ila hizi hazipimi uhalisia wa mwalimu bora
Ndugu hata wao wanakili hilo ila wanasema lengo kubwa ni kuondoa bias, kwasababu waombaji ni wengi, interview haikupi mtumishi bora, kidogo useme mtu awe kazini kwa miaka mi2 mi3 ya matazamio ndo umpe mkataba.
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza, amepewa dhamana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita baada ya kushikiliwa kwa upelelezi kuhusu ushiriki wake katika jumuiya hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na NETO tarehe 25 Februari 2025, Kaheza alikamatwa mnamo 24 Februari 2025 na baadaye kuachiwa kwa dhamana huku uchunguzi ukiendelea.

NETO imeishukuru jamii ya wanasheria, mashirika ya haki za binadamu kama THRDC na TLS, pamoja na vyombo vya habari na watu wote waliounga mkono juhudi za kuhakikisha kiongozi wao anaachiwa.

Aidha, NETO imesisitiza kuwa si chama cha siasa na hakihusiani na migomo yoyote, bali ni jukwaa la walimu wasio na ajira kushirikiana kupitia mitandao ya kijamii. Umoja huo umesisitiza kwamba utaendelea kuishinikiza serikali kutoa ajira kwa walimu waliomaliza mafunzo yao kati ya mwaka 2015 na 2023, kutokana na uhitaji mkubwa wa walimu mashuleni.

"Tuna matumaini kuwa maombi yetu yatafanyiwa kazi kwa wakati," amesema Daniel Edgar Mkinga, Katibu Mkuu wa NETO, akihitimisha taarifa hiyo.

Ujumbe kutoka kwa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC)

Ajira katafuteni shule za Private. St zinahutaji walimu
 
Hawa NETO ni MATOKEO ya elimu mbovu tuliyo nayo ukweli mchungu ni kwamba zaidi ya 90,% ya kada ya ualimu hawakuandaliwa kiushindani katika soko la ajira. Leo wanaona wanaonewa wakati Kuna maelf ya watu wamesoma HR, Gas engineering, petroleum engineering, socialogy nk wako mtaani wanapambana kila siku na bahasha BILA mafanikio.

ENDAPO SERIKALI itakubali KUWEPO Kwa VIKUNDI hivi visivyo Rasmi ni SWALA LA muda vitaanza kutumika kiuanaharakati na madhara yake ni MAKUBWA.

Lazima ifike mahali tukubali haipo SERIKALI inayoweza kumudu ajira Kwa 100%, HAIPO. kujifanya wao ni muhimu sana Kwa JAMII sio sawa. Zipo kada nyingi zinastrugle kila kukicha na hawajaonesha mihemko hii ya kutoka misuli wakati WA kuongea....

Emagine KATIBU ni mwalimu anamfundisha mwanao shuleni. Private sekta usaili Kwa mwalimu ni kawaida kabisaaaaa Kwa sababu Wanataka kilichobora.

Na hawatafikia LENGO lao Kwa sababu SERIKALI haiwezi kuwaajiri WOTE... HAIWEZI HATA ARDHI IPASUKE HUU NDO UKWELII.
Gifted fool...
 
Back
Top Bottom