busarakumkichwa
Member
- Jul 20, 2024
- 46
- 49
hizo st zinazolipa 150000Ajira katafuteni shule za Private. St zinahutaji walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo st zinazolipa 150000Ajira katafuteni shule za Private. St zinahutaji walimu
Ahsante mkuu pambaneni SERIKALI itawaajiri wote acha sisi wajinga tupambane na MTAA.Gifted fool...
Kuna fani gani Tanzania inaandaliwa kwa ushindani?Gifted fool...
Ila serikali inachoweza ni kuongeza posho na mishahara ya wabunge.Hawa NETO ni MATOKEO ya elimu mbovu tuliyo nayo ukweli mchungu ni kwamba zaidi ya 90,% ya kada ya ualimu hawakuandaliwa kiushindani katika soko la ajira. Leo wanaona wanaonewa wakati Kuna maelf ya watu wamesoma HR, Gas engineering, petroleum engineering, socialogy nk wako mtaani wanapambana kila siku na bahasha BILA mafanikio.
ENDAPO SERIKALI itakubali KUWEPO Kwa VIKUNDI hivi visivyo Rasmi ni SWALA LA muda vitaanza kutumika kiuanaharakati na madhara yake ni MAKUBWA.
Lazima ifike mahali tukubali haipo SERIKALI inayoweza kumudu ajira Kwa 100%, HAIPO. kujifanya wao ni muhimu sana Kwa JAMII sio sawa. Zipo kada nyingi zinastrugle kila kukicha na hawajaonesha mihemko hii ya kutoka misuli wakati WA kuongea....
Emagine KATIBU ni mwalimu anamfundisha mwanao shuleni. Private sekta usaili Kwa mwalimu ni kawaida kabisaaaaa Kwa sababu Wanataka kilichobora.
Na hawatafikia LENGO lao Kwa sababu SERIKALI haiwezi kuwaajiri WOTE... HAIWEZI HATA ARDHI IPASUKE HUU NDO UKWELII.
Kwani upolisi ni professionalHakuna umoja wa polisi wasio na ajira ?😏
Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza, amepewa dhamana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita baada ya kushikiliwa kwa upelelezi kuhusu ushiriki wake katika jumuiya hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na NETO tarehe 25 Februari 2025, Kaheza alikamatwa mnamo 24 Februari 2025 na baadaye kuachiwa kwa dhamana huku uchunguzi ukiendelea.
NETO imeishukuru jamii ya wanasheria, mashirika ya haki za binadamu kama THRDC na TLS, pamoja na vyombo vya habari na watu wote waliounga mkono juhudi za kuhakikisha kiongozi wao anaachiwa.
Aidha, NETO imesisitiza kuwa si chama cha siasa na hakihusiani na migomo yoyote, bali ni jukwaa la walimu wasio na ajira kushirikiana kupitia mitandao ya kijamii. Umoja huo umesisitiza kwamba utaendelea kuishinikiza serikali kutoa ajira kwa walimu waliomaliza mafunzo yao kati ya mwaka 2015 na 2023, kutokana na uhitaji mkubwa wa walimu mashuleni.
"Tuna matumaini kuwa maombi yetu yatafanyiwa kazi kwa wakati," amesema Daniel Edgar Mkinga, Katibu Mkuu wa NETO, akihitimisha taarifa hiyo.
Ujumbe kutoka kwa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC)