MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kama ana tuhuma zinazofaa kumpeleka mahakamani wampeleke. Kumnyima dhamana na kumshikilia kwa muda mrefu haitakuwa sawa. Cha muhimu vijana wasianzishe kichwa kichwa hizi movements zao. Wazingatie sheria na sio kuropoka bila ushahidi. Vyombo vya usalama vinalinda amani ya nchi hii kwa wivu mkubwa kwahiyo kabla hujaropoka tafakari kwanza.
Hawa NETO hawakuwa na hoja nzito zaidi ya kulalamika bila sababu za msingi. Kila fani ikianzisha umoja wa majobless na kufanya press conference itakuwa ni vurugu.
Hawa NETO hawakuwa na hoja nzito zaidi ya kulalamika bila sababu za msingi. Kila fani ikianzisha umoja wa majobless na kufanya press conference itakuwa ni vurugu.