Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

Kama ana tuhuma zinazofaa kumpeleka mahakamani wampeleke. Kumnyima dhamana na kumshikilia kwa muda mrefu haitakuwa sawa. Cha muhimu vijana wasianzishe kichwa kichwa hizi movements zao. Wazingatie sheria na sio kuropoka bila ushahidi. Vyombo vya usalama vinalinda amani ya nchi hii kwa wivu mkubwa kwahiyo kabla hujaropoka tafakari kwanza.

Hawa NETO hawakuwa na hoja nzito zaidi ya kulalamika bila sababu za msingi. Kila fani ikianzisha umoja wa majobless na kufanya press conference itakuwa ni vurugu.
 
Hata tshekedi aliamini hivyo hivyo kama unavyo amini wewe kwamba serikali ni lidude likuuubwa halitishwi wala kutishika lakini mwisho wa siku akajua kumbe kuna serikali kikundi chake na kuna wananchi wenye nchi na ndiko tunako pelekwa sasa hivi
Aise, achana na taasisi inayoitwa serikali. Sio ndogo hivyo unavyowaza. Sawa hautakiwi kuiogopa serikali ila amini nakuambia unatakiwa kuiheshimu kwa.adabu zote ulizofundishwa kwenu.

Hapa unaweza ukafikiri hawakujui ila na jina lako hili wakikuamulia ni haraka sana wanakujua, na kukuchukua itakuwa ni uamuzi wao tu wala sio wako 😂😂

Unless uwe ni keyboard worrior au ubishe tu kutokana na uelewa mdogo.
 
Kabisa Mkuu.

Ni sawa na unakuta mtu labda anafanya maombi ya ajira online alafu mtandao unakuwa mzito au unazingua yeye anatoka mbio anakuja lalamika mtandaoni.

Hajui hata kama ni kosa la jinai yena chini ya sheria zetu hizi hizi kusema mfumo wowote wa kimtandao wa serikali unachangamoto. Wazee wakiruka naye anaona kama kaonewa kumbe ndio kazingua.

Uoga sio mzuri ila mtu uheshimu tu mipaka.
 
hao tayari wameshakuwa threats Kwa Serikali .

Maana wamepata kuungwa mkono na kundi kubwa la watanzania Kwa muda mfupi.


Ningeshauri waendelee na huo msimamo na wafanye hiyo Kama Kazi na Chama kikue wapate posho na office .

Japo Mimi sio muumini wa kutafutiwa ugali Ila ninapenda Sana Movement za kusonga mbele

Tupo pamoja hakuna kurudi nyuma.
 

Acheni vijana wajipambanie , Kama hauwezi kuwaunga mkono waache wengine watawaunga mkono .

Unafikiri wangekaa kimya Serikali ingefikiria kuboresha Madai yao .



Hoja zao ni za msingi Sana
 
Serikali ya bibi ina ufanisi wa 1000%. Kwa hiyo ukosoaji wowote ni uchochezi.

Kwa hiyo wachochezi wote kamata sukuma ndani.
Na nyie chadema wa no reforms sijui no nini kaeni mguu sawa.
 
Na wewe dogo usitake kutuchezea
 
Mimi nilijiulza vijana hawana ajira wamewezaji kuorganize tukio la kuongea na waandishi wa habari, lazma kuna watu wapo nyuma ya hili. Nikahis kwamba lazma watakamatwa ili kumjua aliye nyuma yao
 
TZ ya sasa raia walazimishwa na self appointed MACHAWA kukubali kila kitu! Tusibishe, tusilalamike, tusikubali uovu, kunyimwa haki..
Serikali gani hii ?! Tumsifie mama kama mazombie tu?!
Hovyo hovyo kabisa kabisa kabisa!
 
Sasa mnaotetewa mliosoma alaf mmekoswa ajira mko wapi mkamsaidie,wapi mawakili,wapi wataalam wote.
Acha kuzubaa wasomi wetu,punguza uoga.ni haki yenu kudai haki
 
Kimesajiliwa wapi hicho chama?
 
Ccm na taasisi zake za kijambazi, haiwataki kusikia malalamiko ya shida za, vijana, kama kukosa ajira, wanahofia sana, ma injinia, ma dokta, ma nesi, wa hasibu, Hawa wote wakianzisha umoja wa kukosa ajira, pana chimbika, samia anataka kusikia misifa na uchawa kutoka kwa wasanii tu, akiona vichekesho vya vijana, anafikiri hata mtaani watu wanacheka Cheka, ukitegemea ni mwaka wa uchaguzi, mi ccm haitaki kuona watz wanalia hadharani, unatakiwa ulie kimya kimya! Wengine wasikuone, mkaungana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…