Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

Kama kijana fikiria kusomea mambo ya ufundi pia.
kwa sasa ajira za serikalini sio za kuzitegemea.
hapa namaanisha somea fani ya kuweza kujiajiri.
kwa Tanzania fulsa za kujiajiri bado zipo.
 
Polisi wanaotumiwa na hii serikali ya kipumbavu tunaishi nao.waendelee kutesa na kuua ndugu zetu bila sababu,kuna siku tutawauwa wote na familia zao waumie kama sisi tunavyoumia kupoteza wapendwa wetu.Wananchi tuko wengi kuliko hao majambazi polisi
Hakuna polisi mwenye akili wote kama wendawazimu wao kama wale ngombe wa msituni likianza kukimbia moja yote safari bila kujua nin kinawakimbiza ngoja waendelee hivo hivo siku kuna family zitalia na kusaga meno
 
Hakuna polisi mwenye akili wote kama wendawazimu wao kama wale ngombe wa msituni likianza kukimbia moja yote safari bila kujua nin kinawakimbiza ngoja waendelee hivo hivo siku kuna family zitalia na kusaga meno
Usiwatukane polisi sio wote wenye tabia mbaya. Una nafasi yakubadili uongozi ushawishi na hoja zako zinaweza kufanya mabadiliko makubwa jiamini
 
Usiwatukane polisi sio wote wenye tabia mbaya. Una nafasi yakubadili uongozi ushawishi na hoja zako zinaweza kufanya mabadiliko makubwa jiamini
Wote polisi isipokuwa wajeda magereza uhamiaji na TANAPA jeshi lilibaki hawana akili na maendeleo
 
Kwanini amekamatwa wakati wanadai haki yao ya ajira?

Amehatarisha kitu gani wakati ametumia njia halali za kupaaza sauti kuliko kjiingiza kwenye magenge ya kihalifu?

Waliomkamata wametumwa na nani kuwazima sauti zao kama hawafichi maovu dhidi ya utoaji ajira stahiki kwa walimu?

Tangu lini mwalimu asomeshwe halafu unamtaka aende kulima au kuwa mjasiriamali badala ya kuelimisha umma wa kizazi kilichopo?

Uchawa umezidi sasa kwa kujipendekeza wakifikiri wanamfurahisha malkia kumbe ndio wanapalilia hasira za wananchi kwa ujumla wao!!


Mwisho walimu wote mnaotumika kuipitisha CCM kwenye chaguzi mbalimbali somo mmeliona mubashara bila chenga.......mwenzako akinyolewa za kwako tia maji ili kunyolewa kwako kusilete changamoto!!!
 
Bila shaka wewe ni Mnufaika wa huu mfumo wa hovyo wa Ma CCM na akina mkenda.
 
Chawa wa mkenda tulia dawa ikuingie. Na Bado haiwezekani mule peke yenu tu cake ya taifa.
 
Hata tshekedi aliamini hivyo hivyo kama unavyo amini wewe kwamba serikali ni lidude likuuubwa halitishwi wala kutishika lakini mwisho wa siku akajua kumbe kuna serikali kikundi chake na kuna wananchi wenye nchi na ndiko tunako pelekwa sasa hivi
Ndiyo hawa CCM huwa wanajiona Tz ni mali yao pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…