Labda kuzua taharuki na kusambaza taarifa za uongo mtandaoni. Unajua ukitamka jambo la kitakwimu inabidi uwe makini sana.
Hawa walitakiwa hizo hotuba na maelezo yao yote wapitishe kwenye jopo la mawakili, ili kuangalia madhara na matokeo yake. Hivyo ndio mambo yanapaswa kwenda na sio hivi kwenda kiholela, lazima uzingue tu na unajua Jamhuri haina time na raia mwema (mfuata sheria) tatizo lipo ukijichanganya pahali tu wana wewe.
Huyu jamaa nilimsikiliza kidogo ila nikajua hapa na hapa kazingua na wameruka naye tayari.
Vijana tunataki tujue kuwa tufanye yote ila kamwe tusijaribu kusababisha kitisho kwenye usalama wa hili taifa, utapotea na hakuna atakayejutia. Sasa kutaka kuinua hasira za graduates ni big move inayoitaji akili sana, sio jambo la mchezo au masihara.