Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

Waliomtuma Sasa wakamtoe maana alikuwa anatafuta kiki za Kisiasa.

Serikali haijiri watu Kwa sababu wamesoma Bali inaajiri Kwa mahitaji na uwezo wa kuwalipa.

Alivyo kiasi eti hataki hata kufanya usaili.kisa alipewa cheti.

Hawa ndio wale walipata div.3
 
Wewe chawa tulia. Hii movement ipo Hadi vijijini kabisa Sasa elewa kuwa mabadiliko ya mfumo yanahitajika. Lazima tule wote cake ya taifa hili Kwa haki na Kwa usawa. Si kikundi Cha watu wachache ndiyo waendelee kunufaika na cake ya taifa Kwa kisingizio eti serikali haiwezi/haiajiri Kwa sababu umehitimu ila tu Kwa mahitaji. Ma CCM uwezo wenu unaishia hapo ndiyo maana mnataka wananchi wote tuwe wanaharakati.
 
Mholand umeibania habari.
 
Waziri MSOMI kasema anataka akutane nao,ombi,Afande kakamata,Amri!! Duuh
 
Sasa mbona huna akili kama siyo kweli?
Akili zipi wewe mzee! Ni kukariri tu kwamba lazima uajiriwe ndo utoke kimaisha mimi nipo nakomaa bajaji ya mkataba na Ninaishi boss,

Na bado ninajifua na kwenye u-mechanic uhakika wa kupata magari vimeo upo hukosi 10-15k kama ni fundi MUAMINIFU
 
Hakuna serikali inayogawa pesa Wala kuajiri watu Ili iqatoe kwenye njaa na jobless.

Serikali ikiamua kuwasaka Iliweza na mkapoteana.

Mlikuwa wapi kuunda hicho kiumoja chenu za Kisiasa awamu ya Magufuli ambae alikuwa haajiri ndio mje kuleta ujinga wenu awamu ya mama aliyewaonea huruma?

By the way nyie mbumbumbu mnaotumika mlipata div.3 harafu hamtaki Usaili eti mna vyeti πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii Sheria yavkukamatwa Halafu hupewi dhamana ni mbovu kabisa!
 
Ila kwenye usaili wamefeli mwalimu ni mwalimu! Ni kama dereva lazima ujifunze Kila siku
 
Ila kwenye usaili wamefeli mwalimu ni mwalimu! Ni kama dereva lazima ujifunze Kila siku
Kwanza mtaala Mpya wamepiga marufuku kusomesha watu vilaza wa divi.3 kuwa walimu.

Hiyo iende Hadi kwenye Afya wanakoweka vilaza wa D.

Hizo fani hazihitaji watu wenye akili ndogo kama Hawa wanaodai kwamba Kwa kuwa wamepata vyeti wasifanye Usaili πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Akili zipi wewe mzee! Ni kukariri tu kwamba lazima uajiriwe ndo utoke kimaisha mimi nipo nakomaa bajaji ya mkataba na Ninaishi boss,

Na bado ninajifua na kwenye u-mechanic uhakika wa kupata magari vimeo upo hukosi 10-15k kama ni fundi MUAMINIFU
Hao walimu walisoma ili wajiajiri?
 
Publicity without thinking about the current situation, hapo ngoja awe mfano.

huyu nahisi ni mwana jf aka ona apite na upepo, haya hao member wa neto wampambanie Sasa.
Mtu anatetea anachokiamini wewe unaona anatafuta publicity, chochote tu kitakachomtokea maisha yataendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…