Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

Kama hii habari ni ya kweli....tunaweza kusikia watu kibao pale mtaa wa jangwani watakufa kwa presha kwa sababu mshtuko......

Habari hii imekuja wakati mbaya sana.....


watakufa vipi Kwa presha hali wapo vikao na Mengi apokee kijiti ? , Mzee akili mali kabadili gia angani kama Mbowe
 
Baada ya taarifa kwamba Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amejiuzulu uenyekiti kuzagaa, SALEHJEMBE ilifanya kila juhudi kumpata na mwenye akazungumza kwa ufupi.

Alipoulizwa kuhusiana na suala la kujiuzulu na pia kusitiza uamuzi wake wa kutaka kuwekeza au kuikodisha Yanga kwa miaka kumi, alisema basi imetosha.

“Kwa kweli imetosha, imetosha sasa,” alisema.

Alipoulizwa afafanue kuhusiana na kauli hiyo, Manji aliongeza.


“Nimesema hivi, imetosha. Naomba uniache, nisingependa kujibu lolote kwa sasa, niache tafadhari."

Kumekuwa na taarifa kwamba Manji ameamua kuachana na wazo lake la kuwekeza Yanga kwa miaka 10 baada ya kuona hata baadhi ya viongozi wa serikali wakimuandama kwa madai wanatumiwa na baadhi ya mamilionea.

Taarifa nyingine zimeelezwa kwamba, wako wanachama wa Yanga ambao wanaona hawatafaidika na maslahi yao binafsi kama Manji atawekeza, hivyo wamekuwa wakipambana kuhakikisha haingii mkataba na kupewa nafasi hiyo kwa kuwa inaweza kuwavuruga.

Awali, kumekuwa na taarifa Manji ameamua kujitoa kwa kuwa kuna juhudi za chini pia zinazohusisha hadi watu wengine wenye mamlaka katika soka ambao wana hofu na uwekezaji wake.
 
Baada ya taarifa kwamba Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amejiuzulu uenyekiti kuzagaa, SALEHJEMBE ilifanya kila juhudi kumpata na mwenye akazungumza kwa ufupi.

Alipoulizwa kuhusiana na suala la kujiuzulu na pia kusitiza uamuzi wake wa kutaka kuwekeza au kuikodisha Yanga kwa miaka kumi, alisema basi imetosha.

“Kwa kweli imetosha, imetosha sasa,” alisema.

Alipoulizwa afafanue kuhusiana na kauli hiyo, Manji aliongeza.


“Nimesema hivi, imetosha. Naomba uniache, nisingependa kujibu lolote kwa sasa, niache tafadhari."

Kumekuwa na taarifa kwamba Manji ameamua kuachana na wazo lake la kuwekeza Yanga kwa miaka 10 baada ya kuona hata baadhi ya viongozi wa serikali wakimuandama kwa madai wanatumiwa na baadhi ya mamilionea.

Taarifa nyingine zimeelezwa kwamba, wako wanachama wa Yanga ambao wanaona hawatafaidika na maslahi yao binafsi kama Manji atawekeza, hivyo wamekuwa wakipambana kuhakikisha haingii mkataba na kupewa nafasi hiyo kwa kuwa inaweza kuwavuruga.

Awali, kumekuwa na taarifa Manji ameamua kujitoa kwa kuwa kuna juhudi za chini pia zinazohusisha hadi watu wengine wenye mamlaka katika soka ambao wana hofu na uwekezaji wake.

Sorry sikuona signature yako akili za mbayuwayu................so nichanganye na zangu...kudadekiiiiiiiii
 
Habari zilizoenea kwenye mitao ya kijamii ni kwamba Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji ameamua kujiuzulu wadhifa wa uenyekiti katika klabu hiyo pamoja na kusitisha zoezi la kutaka kuikodi timu hiyo kwa miaka 10 kama ilivyokuwa dhamira yake hapo awali.

Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani ya Yanga, inadaiwa kuwa bosi huyo ameamua kukaa pembeni ikiwa ni baada ya kuibu kwa mijadala mikubwa na baadhid ya watu kupinga uamuzi wake wa kutaka kuikodi Yanga.

“Natukanwa sana na baadhi ya matajiri ambao ni wapenzi wa Yanga…hawapendi mimi niwepo pale. Pesa ni yangu natoa kwa mapenzi niliyonayo kwa klabu yangu…kwanini nitukanwe wakati sipati maslahi yoyote? Najiuzulu,” Ni kauli ya mwenyekiti wa Yanga SC ambaye ametangaza kujiuzulu kufuatia kusakamwa na hasa baada ya kuomba kuichukua Yanga kwa miaka 10. (kwa mujibu wa facebook page ya Naipenda Yanga).

Hata hivyo kumekuwa na vikao mbalimbali kumsihi Manji abadili maamuzi yake lakini inaonekana amechoka na ameamua kuibwaga Yanga.


chanzo Shaffih dauda blog
 
He is childish anapenda kuabudiwa na kusujudiwa, Kama Ana njia njema Kwa nini anashindwa ku argue his case? Watanzania watakua ma mbumbumbu kutoa time ya wananchi waliojenga tangu Uhuru Kwa hiyo hela kiduchu. Tuliwashangaa wana yanga Kwa nini anataka nembo Kubwa hivyo for only 500per annum? Hiyo ni budget ndogo sana Kwa nembo inayo mean lives Za watu vizazi Kwa vizazi. Why 75% why not 51% or 49% Kama kweli anataka uzalendo?
Haya kaweke wewe hisa hizo 51% au 41%
 
Ni aibu kwa waswahili kumuabudu muhindi, hizi timu sasa zikodishwe tu kwa kampuni za wazawa waziendeshe na mambo ya kuloga waachiwe kina Mzee Akilimali tu.
 
Kama Manji kajiuzuru Yanga baaas tenaaaa,tff watakuwa wamefurahi lakini Yanga bas tenaaaaa.
 
Hauwezi mziki wa Mo huyo ndio maana kakimbia.
Sabaniiiii veve nini sasa bhanaa kimbia?
 
Back
Top Bottom