kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,175
.....WANITAFUTE NITAIENDESHA yanga PEKE Yangu kwa trilion 1.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakumbuka Mengi alijaribu kuingia yanga na kuwashauri wanachama wageuze klabu kuwa kampuni ili anunue hisa. Kilichotokea alitolewa na bakora na kwa msaada wa polisi.!!!Hivi Mengi alikuwa wapi wakati timu inafanya vibaya miaka ya 2003.
Tulia wewe..Simba yenyewe sidhani kama wale wababaishaji watakubali kuachia Timu.Na kwa Uongozi huu Simba akichukua ubingwa nina hakika hata Hashim Rungwe atakua Rais wa Tanzania Mungu akimpa Uhai.mhhh manji naona yanga ikiwa kama simba na simba ikiwa kama yanga azam wakibaki pale pale watakuwa wanaitwa yanga ya matopeni na simba wa kimataifa
Kutakuwa Na maandamano makubwa sana jangwaniKama hii habari ni ya kweli....tunaweza kusikia watu kibao pale mtaa wa jangwani watakufa kwa presha kwa sababu mshtuko......
Habari hii imekuja wakati mbaya sana.....
Anataka mteremkoHivi kwani lazima Yanga kwanini asingetengeza timu yake mwenyewe?
Japo hawezi kukiriAnataka mteremko
Jamaa anajua ameishika Yanga kwa ufadhili wake.....na kweli akiiacha Yanga ghafla lazima utatetereka kwa muda.Anatikisa kiberiti wampe timu huyo mhindi mjinga sana...anataka akodishe timu bure
Akigoma mechi ya mazembe watashindwa kwenda DRC,Club haina hata chanzo cha kueleweka cha mapato..haah tajiri kakasirika sijui wataendaje kukamilisha ratiba ya kombe shirikisho
AsanteMimi ni mwanachama wa Yanga, nilichofanya ni kuleta taarifa kwa wanabodi shida iko wapi?
Du, afadhali sasa wanayanga wataendesha klabu yao kwa maslahi ya klabu maana huyu kanji alikuwa amedhamiria kuinyonya yanga kama kupe kwa muda wa miaka 10! Yanga oyeeeeeee!View attachment 382142
Habari za uhakika ambazo tumezipata kutoka katika chanzo cha uhakika ndani ya Yanga zinaonyesha kuwa mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf manji ameamua kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa yanga pamoja na kusitisha kusudio lake la kuichukua na kuendesha kibiashara timu ya Yanga na nembo yake .
Hili ni anguko kuu kwa yanga endapo Bw Yusuf manji atajionda Yanga kutokana na ukweli kuwa tayari mahasimu wao wa jadi Simba wanakamilisha taratibu za kumkabidhi timu Bw mohamed Dewji MO.
Uamuzi wa manji kujiondoa yanga unatajwa kuchangiwa na shutuma zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa serikali, na wengine kutoka ndani ya yanga ambao wanatumiwa na baadhi ya wafanyabiashara kwa maslahi yao binafsi na sio ya yanga.
Manji anaonekana kuchoshwa na tabia za baadhi ya watu kumtukana na kumkebehi kwa hatua yake ya kuichukua timu ya Yanga na sasa ameamua kukaa pembeni kulinda heshima yake .
Hata hivyo viongozi wa Secretary ya yanga siku nzima ya leo wameonekana kuchanganyikiwa uku baadhi wakiwa wanapigana vikumbo kuingia na kutoka quality plaza zilizopo ofisi za Bw manji hatua inayoashiri kuna jambo kubwa linatokea.
Chanzo: Shaffih Dauda