minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hamtapumua bali njaa inabisha hodi na Timu itakuwa ndembendembe.Nina furaha sana Huyu jamaa kuondoka hapo yanga katunyanyasa saba na pesa zake na yeye ndio alikuwa mchawi wetu Nina imani sasa tutapumua