Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mwenyekiti wa zamani wa Benki ya China, Liu Liange amehukumiwa kifo kwa kupokea hongo ya dola milioni 16.8 (TZS bilioni 44.4) pamoja na makosa mengine ya ufisadi na utoaji wa mikopo kinyume cha sheria.
Mahakama ya China imeamuru mali zote binafsi za Liu zitaifishwe na mapato yake yote yanapaswa kurejeshwa na kuwasilishwa kwenye hazina ya serikali.
Mahakama ya China imeamuru mali zote binafsi za Liu zitaifishwe na mapato yake yote yanapaswa kurejeshwa na kuwasilishwa kwenye hazina ya serikali.