Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yoteSalam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Dadavua kidogo basiAcha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote
2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
Kila anakopita mpaka uchagani wanasema asante CCM, asante Dr Magufuli, hiyo ni dalili kubwa ya ushindi wa kishindoDadavua kidogo basi
Kwema hapo ufipa lakini?Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Mkuu umejuaje wewe?Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Mkuu Hijja Madava, unaonyesha wewe ama ni mgeni na siasa, au utakua bado huzijui vizuri siasa za Bongo.Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
CCM Kimekuwa Chama cha hovyo sana. Yaani kinategwa na chenyewe kinaingia mtegoni kiboyaboya.
Hata Gadaffi alijiaminisha hivyo hivyoKila anakopita mpaka uchagani wanasema asante CCM, asante Dr Magufuli, hiyo ni dalili kubwa ya ushindi wa kishindo
2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
akhsante mkuu we ndiye umenelewaWatakao kuelewa ni wachache sana marekani hajawai kuingia kwenye operation akafeli
Mkumbusheni na Pascal MayallaWatakao kuelewa ni wachache sana marekani hajawai kuingia kwenye operation akafeli
kafeli maeneo mengi tu labda huijui historia vyema.Watakao kuelewa ni wachache sana marekani hajawai kuingia kwenye operation akafeli
Uchaguzi utakuwa na .gombea yeye pekeake. So kura itakuwa ndyo au hapna.2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
Yule hata mama j hampigii2020 rais wetu lazima awe ngosha Dr Magufuli, utake usitake maana kila mtanzania atampigia kura ya ndiyo!
Acha unafiki, wewe siyo CCM, na ungekuwa mwana CCM ungeona jinsi CCM inavyopendwa kwa sasa. Kibano kiendelee hivyo hivyo. Tunajua nyie majizi na mnaoendekeza ukabila roho zinawauma sana maana ile mianya ya kuwekana kwa kazi na kuiba imezibwa yote