Mwenyezi MUNGU Aendelee Kumjalia Afya njema Rais Wetu Mama Samia Katika Kuelekea kufunga miaka Miwili ya mafanikio na Matumaini katika kila secta.

Mwenyezi MUNGU Aendelee Kumjalia Afya njema Rais Wetu Mama Samia Katika Kuelekea kufunga miaka Miwili ya mafanikio na Matumaini katika kila secta.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu watanzania,

Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anaelekea kufunga miaka Miwili Tangia alipoapishwa kuwa Rais wa Taifa Letu,Imekuwa Ni miaka ya kazi,miaka ya utumishi uliotukuka,miaka ya kujenga umoja wa watanzania,miaka ya kushikamana Kama Taifa,miaka ya kupanda na kushuka,miaka ya kusimama pamoja,miaka ya kusimama na Taifa,miaka ya kuiweka serikali mikononi mwa watanzania,miaka ya kufutana machozi,miaka ya kufarijiana ,kuponyana makovu,majeraha na maumivu.

miaka ya maridhiano,miaka ya kusameheana,miaka ya kufungua kurasa mpya, miaka ya kutazama mbele kwa matumaini,miaka ya kuiangalia Kanaan kwa matumaini,miaka ya Uzalendo ,miaka ya majadiliano,miaka ya kila mtu kufanya kazi,miaka ya kuambiana ukweli,miaka ya kulijenga Taifa letu kwa mikono yetu wenyewe,miaka ya kutolaumiana,miaka ya kuunganisha nguvu zetu,miaka ya kila mmoja kujiona na kujivunia utanzania wetu, miaka ya kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu, miaka ya kuwasha Taa ya Matumaini mioyoni mwa watanzania.

miaka ya kuliheshimisha Taifa letu,miaka ya Taifa kuwa kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake, miaka ya kufungua pingu za vinyongo na visasi,miaka ya kuwashinda maadui zetu miaka ya kupigana pamoja kulilinda Taifa letu na maslahi yeke,miaka ya kusimama na Rais wetu na serikali yetu.

Ni miaka ambayo Rais wetu alihakikisha Anajenga uchumi wa kumgusa kila mtanzania,Ni miaka ambayo Rais wetu mpendwa alihakikisha na kujitahidi kutomwacha mtu yeyote nyuma kiuchumi,Ni miaka na kipindi ambacho mh Rais alijitahidi kuimarisha demokrasia yetu ili kutoa nafasi kwa sauti zote kusikika masikioni mwake,Ni miaka iliyokuwa ya kujisahihisha mahali tulipokosea Kama Taifa,Ni miaka ambayo mh Rais alitoa huduma kwa watanzania pasipo ubaguzi wa aina yoyote,Ni miaka ambayo kila mwenye kufanya kazi aliweza kunufaika na jasho lake.

Ni miaka ambayo serikali ilifanya kazi ya kuwasaidia watu na siyo kuwaumiza, serikali ilifanya kazi ya kuwawezesha watu na siyo kuwakwamisha, serikali ilifanya kazi ya kuwainua watu na siyo kuwadidimiza, serikali ilifanya kazi ya kuwafariji watu badala ya kuwasimanga,Ni miaka ambayo serikali ilibeba mizigo ili kuwapunguzia maumivu watanzania,Ni miaka ambayo mioyo ya watanzania ilichanua kwa furaha na matumaini juu ya kesho iliyo Bora.

Ni miaka ambayo serikali ilifuta Msamiati wa kukata Tamaa,Ni miaka ambayo ushidi ulikuwa umetamalaki katika kila secta na kila mtanzania kushangilia ushindi husika,Ni miaka ambayo Rais wetu amefanikiwa Kuiteka Mioyo ya watanzania kwa uchapa kazi wake uliotukuka ,Ni miaka Ambayo watanzania tuliujuwa ukweli wa kila kitu kinachofanywa na serikali yetu,Ni miaka ambayo serikali imekuwa kwa ajili ya kuwatumikia watu wa aina zote na kuwasikiliza watu wote,Ni miaka ambayo serikali imejiweka mikononi mwa watanzania.

Ndio maana Mimi Lucas Mwashambwa moyo wangu unawiwa kusema kuwa Mwenyezi MUNGU Aendelee Kumjalia Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania, aendelee kumlinda na kumpigania Rais wetu, watanzania Tuendelee kumwamini na kumuunga mkono Rais wetu, Tuendelee kuitunza zawadi hii ya kipekeee tuliyopewa na Mwenyezi MUNGU kuweza kutuvusha kutupeleka nchi ya ahadi yenye maziwa na asali,yenye kutiririsha kila aina ya fursa kwa watu wa aina zote na Rika zote,nchi yenye Usawa,haki na maridhiano ya kutosha,nchi yenye kusikika kwa sauti ya kila mmoja wetu na yenye demokrasia ya kutosha na itakayokuwa mfano wa kipekee Barani Afrika na Duniani kwa ujumla.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
 
Wapi nimesema naumia? Unamtaja Mwenyezi Mungu na kuelekea maombi Yako kwake, yanini kuleta hapa hayo maombi badala ya kutaelekeza kwake? Au unayemuomba ana ID hapa JF?
Kwa hiyo wewe unaumia Nini au wewe Ni wakala wa shetani au unapata mfadhaiko ukisikia Rais wetu anaombewa na watanzania wengi,Hili Ni jukwaa huru
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anaelekea kufunga miaka Miwili Tangia alipoapishwa kuwa Rais wa Taifa Letu,Imekuwa Ni miaka ya kazi,miaka ya utumishi uliotukuka,miaka ya kujenga umoja wa watanzania,miaka ya kushikamana Kama Taifa,miaka ya kupanda na kushuka,miaka ya kusimama pamoja,miaka ya kusimama na Taifa,miaka ya kuiweka serikali mikononi mwa watanzania,miaka ya kufutana machozi,miaka ya kufarijiana ,kuponyana makovu,majeraha na maumivu.

miaka ya maridhiano,miaka ya kusameheana,miaka ya kufungua kurasa mpya, miaka ya kutazama mbele kwa matumaini,miaka ya kuiangalia Kanaan kwa matumaini,miaka ya Uzalendo ,miaka ya majadiliano,miaka ya kila mtu kufanya kazi,miaka ya kuambiana ukweli,miaka ya kulijenga Taifa letu kwa mikono yetu wenyewe,miaka ya kutolaumiana,miaka ya kuunganisha nguvu zetu,miaka ya kila mmoja kujiona na kujivunia utanzania wetu, miaka ya kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu, miaka ya kuwasha Taa ya Matumaini mioyoni mwa watanzania.

miaka ya kuliheshimisha Taifa letu,miaka ya Taifa kuwa kubwa kuliko mtu binafsi na maslahi yake, miaka ya kufungua pingu za vinyongo na visasi,miaka ya kuwashinda maadui zetu miaka ya kupigana pamoja kulilinda Taifa letu na maslahi yeke,miaka ya kusimama na Rais wetu na serikali yetu.

Ni miaka ambayo Rais wetu alihakikisha Anajenga uchumi wa kumgusa kila mtanzania,Ni miaka ambayo Rais wetu mpendwa alihakikisha na kujitahidi kutomwacha mtu yeyote nyuma kiuchumi,Ni miaka na kipindi ambacho mh Rais alijitahidi kuimarisha demokrasia yetu ili kutoa nafasi kwa sauti zote kusikika masikioni mwake,Ni miaka iliyokuwa ya kujisahihisha mahali tulipokosea Kama Taifa,Ni miaka ambayo mh Rais alitoa huduma kwa watanzania pasipo ubaguzi wa aina yoyote,Ni miaka ambayo kila mwenye kufanya kazi aliweza kunufaika na jasho lake.

Ni miaka ambayo serikali ilifanya kazi ya kuwasaidia watu na siyo kuwaumiza, serikali ilifanya kazi ya kuwawezesha watu na siyo kuwakwamisha, serikali ilifanya kazi ya kuwainua watu na siyo kuwadidimiza, serikali ilifanya kazi ya kuwafariji watu badala ya kuwasimanga,Ni miaka ambayo serikali ilibeba mizigo ili kuwapunguzia maumivu watanzania,Ni miaka ambayo mioyo ya watanzania ilichanua kwa furaha na matumaini juu ya kesho iliyo Bora.

Ni miaka ambayo serikali ilifuta Msamiati wa kukata Tamaa,Ni miaka ambayo ushidi ulikuwa umetamalaki katika kila secta na kila mtanzania kushangilia ushindi husika,Ni miaka ambayo Rais wetu amefanikiwa Kuiteka Mioyo ya watanzania kwa uchapa kazi wake uliotukuka ,Ni miaka Ambayo watanzania tuliujuwa ukweli wa kila kitu kinachofanywa na serikali yetu,Ni miaka ambayo serikali imekuwa kwa ajili ya kuwatumikia watu wa aina zote na kuwasikiliza watu wote,Ni miaka ambayo serikali imejiweka mikononi mwa watanzania.

Ndio maana Mimi Lucas Mwashambwa moyo wangu unawiwa kusema kuwa Mwenyezi MUNGU Aendelee Kumjalia Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania, aendelee kumlinda na kumpigania Rais wetu, watanzania Tuendelee kumwamini na kumuunga mkono Rais wetu, Tuendelee kuitunza zawadi hii ya kipekeee tuliyopewa na Mwenyezi MUNGU kuweza kutuvusha kutupeleka nchi ya ahadi yenye maziwa na asali,yenye kutiririsha kila aina ya fursa kwa watu wa aina zote na Rika zote,nchi yenye Usawa,haki na maridhiano ya kutosha,nchi yenye kusikika kwa sauti ya kila mmoja wetu na yenye demokrasia ya kutosha na itakayokuwa mfano wa kipekee Barani Afrika na Duniani kwa ujumla.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627

Rais ni taasisi na ina watu wa kumsemea maneno kama hayo na wanalipwa Salary na wanatambulika kwenye chama na serikali

Sasa ww endelea kumtukanisha Rais Kwa kujifanya ni chawa wake,

Unaleta hoja za rais na hauna details na unashindwa kuzitetea mwisho wa siku matusi na dharau Kwa rais yanakuwa mengi kwenye hoja zako

Jifunze Kwa akina Juma Juma, ni machawa wa rais ila wanaleta hoja ambazo wanaweza kutetea, wanakesha hapa 24/7 kujibu hoja za mada zao

Huo uchawa wako kuna siku utakuponza
 
Kwa hiyo wewe unaumia Nini au wewe Ni wakala wa shetani au unapata mfadhaiko ukisikia Rais wetu anaombewa na watanzania wengi,Hili Ni jukwaa huru

Kama nijukwaa huru mie nnatoa maoni yangu, shida ni wewe unayemuomba Mungu kupitia JF wakati wote tunajya Mungu unamuonba Moja Kwa moja Haina haja ya kupitia popote.

Unatoa wapi dhana ya mie kuumia? Niumie Kwa kitu Gani sasa?
 
Rais ni taasisi na ina watu wa kumsemea maneno kama hayo na wanalipwa Salary na wanatambulika kwenye chama na serikali

Sasa ww endelea kumtukanisha Rais Kwa kujifanya ni chawa wake,

Unaleta hoja za rais na hauna details na unashindwa kuzitetea mwisho wa siku matusi na dharau Kwa rais yanakuwa mengi kwenye hoja zako

Jifunze Kwa akina Juma Juma, ni machawa wa rais ila wanaleta hoja ambazo wanaweza kutetea, wanakesha hapa 24/7 kujibu hoja za mada zao

Huo uchawa wako kuna siku utakuponza
Naona wewe kazi yako Hapa jukwaani ni vitisho tu kwangu utafikiri upo kwenye utawala wa Nduli iddi Amini au Hittler, Endelea na vitisho vyako.
 
Naona wewe kazi yako Hapa jukwaani ni vitisho tu kwangu utafikiri upo kwenye utawala wa Nduli iddi Amini au Hittler, Endelea na vitisho vyako.

Hakuna mtu anakutisha ila unafundishiwa, unaleta mambo ya rais kwenye hoja nyepesi nyepesi Tu

Then watu wanatukanaaaaaaaaaaa ww Kwa akili yako unaona unasaidia kumbe unazidi kumdharirisha
 
Hakuna mtu anakutisha ila unafundishiwa, unaleta mambo ya rais kwenye hoja nyepesi nyepesi Tu

Then watu wanatukanaaaaaaaaaaa ww Kwa akili yako unaona unasaidia kumbe unazidi kumdharirisha
Rais Ni Mali ya watanzania na siyo Mali yako Binafsi na wasemaji wake,Pia Mimi hakuna nilipojitambulisha Kama msemaji wa Rais na Wala Hakuna nilipowasilisha Taarifa yoyote kuwa imetoka kwa Rais, lakini pia kumwombea Rais Afya njema haihitaji kibali kutoka ikulu maana tulimchagua ili atutumikie watanzania na hivyo tuna haki ya kumwombea Afya njema ili atekeleza majukumu yake ya Urais kwa manufaa yetu watanzania Kama tunavyotarajia kutoka kwake,lakini Kama wewe Ni msemaji wa Taasisi hujazuiwa kumsemea kwa kufuata utaratibu wa kitaasisi, pia siyo jinai kwa yeyote kuyasema Yale aliyoyatekeleza mh Rais na serikali yake,lakini pia Tambua kuwa tunatofautiana mitizamo hivyo hatuwezi kufanana wote na hivyo hata katika mengi mazuri aliyofanya Rais wetu wapo ambao watajipa upofu wakutoona alivyofanya mh Rais hata wakielezwa kwa ushahidi na kuonyeshwa,hivyo acha uoga na vitisho kwangu,fanya kazi yako na andika kinachokuhusu wewe.Hii Ni Tanzania na Dunia ya kidemokrasia,usilete udikiteta wa kimawazo, Ukiwa na mawazo hayo na ukiwa na mamlaka utajikuta unaua watu wengi ili tu usikosolewe na mwisho utagundua kuwa hata wa karibu yako siyo wengi wanaofurahishwa na udikiteta wako,

Acha tubishane kwa hoja hapa jukwaaani na mkweli atajulikana ni nani na penye ukweli patajulikana Ni wapi, Hata Mh Rais Hana mawazo Kama uliyo nayo wewe ndio maana anahimiza kuchanua kwa demokrasia na kukosoana kwa hoja,staha,heshima na Busara. Kwa hiyo unataka mazuri anayoyafanya mh Rais nishindwe kuyasema napoyaona yanafanyika mtaani kwangu na nchini kwangu? Akitoa Elimu bure nisimpongeze? Akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea nisimpongeze? Nikae kimya kwa kuwa nitakosolewa na watu humu? Nikae kimya kwa kuwa wewe umekataza? Embu acha vitisho vyako hapa,shika na fanya yako yanayokuhusu tuuu.

Sijafanya jinai Wala uhaini na kwa Sasa ukija na hoja zako za aina hii uje na kifungu Cha Sheria nilicho kivunja ,
 
Kwani cv y'ako ni Siri? Naomba tu kuijua kwa manufaa ya public Ili wakati wa kuvhakata hoja tujue tunajadili na mtu WA level Gani tusije kukuoverate au kukuundetate! Plz
Mkuu Wewe jadili hoja na siyo mtu,wewe si kila Siku unanitukana, Sasa Leo Nini kitakuzuia kutukana hata Kama huna CV yangu
 
Mkuu Wewe jadili hoja na siyo mtu,wewe si kila Siku unanitukana, Sasa Leo Nini kitakuzuia kutukana hata Kama huna CV yangu
Unaweza kurepost content yoyote niliyokutukana? Kama unaweza fanya Hivyo Sasa vinginevyo Wewe bado mweupe kichwani ashakum sio matusi
Sijaomba CV yako Ili nikutukane au nisikutukane mana Mimi sio muumini wa lugha za matusi, na nimeelexa Sababu za kuomba wasifu wako!
 
Rais Ni Mali ya watanzania na siyo Mali yako Binafsi na wasemaji wake,Pia Mimi hakuna nilipojitambulisha Kama msemaji wa Rais na Wala Hakuna nilipowasilisha Taarifa yoyote kuwa imetoka kwa Rais, lakini pia kumwombea Rais Afya njema haihitaji kibali kutoka ikulu maana tulimchagua ili atutumikie watanzania na hivyo tuna haki ya kumwombea Afya njema ili atekeleza majukumu yake ya Urais kwa manufaa yetu watanzania Kama tunavyotarajia kutoka kwake,lakini Kama wewe Ni msemaji wa Taasisi hujazuiwa kumsemea kwa kufuata utaratibu wa kitaasisi, pia siyo jinai kwa yeyote kuyasema Yale aliyoyatekeleza mh Rais na serikali yake,lakini pia Tambua kuwa tunatofautiana mitizamo hivyo hatuwezi kufanana wote na hivyo hata katika mengi mazuri aliyofanya Rais wetu wapo ambao watajipa upofu wakutoona alivyofanya mh Rais hata wakielezwa kwa ushahidi na kuonyeshwa,hivyo acha uoga na vitisho kwangu,fanya kazi yako na andika kinachokuhusu wewe.Hii Ni Tanzania na Dunia ya kidemokrasia,usilete udikiteta wa kimawazo, Ukiwa na mawazo hayo na ukiwa na mamlaka utajikuta unaua watu wengi ili tu usikosolewe na mwisho utagundua kuwa hata wa karibu yako siyo wengi wanaofurahishwa na udikiteta wako,

Acha tubishane kwa hoja hapa jukwaaani na mkweli atajulikana ni nani na penye ukweli patajulikana Ni wapi, Hata Mh Rais Hana mawazo Kama uliyo nayo wewe ndio maana anahimiza kuchanua kwa demokrasia na kukosoana kwa hoja,staha,heshima na Busara. Kwa hiyo unataka mazuri anayoyafanya mh Rais nishindwe kuyasema napoyaona yanafanyika mtaani kwangu na nchini kwangu? Akitoa Elimu bure nisimpongeze? Akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea nisimpongeze? Nikae kimya kwa kuwa nitakosolewa na watu humu? Nikae kimya kwa kuwa wewe umekataza? Embu acha vitisho vyako hapa,shika na fanya yako yanayokuhusu tuuu.

Sijafanya jinai Wala uhaini na kwa Sasa ukija na hoja zako za aina hii uje na kifungu Cha Sheria nilicho kivunja ,

Kuna siku wahusika watakwambia unachokifanya na unachotakiwa kufanya na utarudi hapa Mikono nyuma

Endelea na ujuha wako tu
 
Back
Top Bottom