Mwenyezi Mungu akusimamie, akulinde na akubariki

Hahika,
Mungu hakawii kuitimiza ahadi yake kwa waja wake.
Ninawaombea wote katika mahangaiko yako ya kimwili na kiroho, mahospitalini, majumbani na popote walipo.
Mwenyezi Mungu awasikilize na kuwatimizia mahitaji yao kadiri ya mapokeo na utayari wa Mioyo yao,
Amen ....

Mtumishi ERoni kwa hakika Mungu amesikia kilio na huruma yako kwa ulio wataja, atawabariki.

Shukran sana kwa sadaka yako hiyo ya ukarimu kwa wahitaji mbalimbali...
 
πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…