Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Akikutwa na mashtaka iwe hivyo,hakuna kumchekea nyani hapaMbowe ni gaidi, adhabu ya gaidi ni kunyongwa.
Gaidi mbowe hapaswi hata kuwepo gerezani, anapaswa afungwe jiwe shingoni atoswe baharini
Kumuombea kifo Rais ni ugaidi. Hilo ni angalizo tu.Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Tafuta kazi ya kufanya utaondoa mawazo ya kijinga kama haya ya kuombeana vifoMwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
amen na iwe hivyoMwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Kuna mambo yanatia kinyaa mbele ya waungwana!!Duh hii dua mbona ya ajabu hivi. Hao wanaomuomba Mungu aingilie kati hawawezi kuwa na wao ni wadhambi wakubwa?.
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Amina.Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Tatizo ni ukweli kwamba nchi huwa na mifumo ya kiusalama yenye watu wenye taarifa ambazo wengi wetu hatuzijui kwa kina.Serikali yako ya CCM inatia kinyaa mbele ya waungwana!!
Madhira yanampozidi mwanadamu, hakika hawezi kuwa na namna nyingine zaidi ya kukielekeza kilio chake kwa Mwenyezi Mungu!!
Kama mwanadamu huyu anakandamizwa, kuonewa, kubaguliwa, na kufanyiwa udhalimu uliokithiri na mwanadamu mwenzake mwenye maguvu yasiyoelezea wala kupimika, basi huyu mwenye kudhulumiwa hana namna nyingine zaidi ya kuelekeza kilio chake kwa Mwenyezi Mungu kwa maana, ni Yeye pekee ndie mwenye uwezo wa kuingiza haki penye uonevu!!
Hata wale Waislamu unaowasikiaga wanasoma Al Badr, bila kujali kama wanafanikiwa au hapana, wanachofanya ni kuwakilisha kilio chao mbele ya Mwenyezi Mungu wanayemuamini wao kwa sababu wanaona, wao kama wao, hawana tena uwezo wa kuondoa madhira yanayowakumba isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee mwenye uwezo huo, ikiwa anaona inafaa!!
Kwahiyo dua ya Salary Slip ni dua muafaka kabisa, and I have no doubt, you kow it!
Wapi kataja Rais?Kumuombea kifo Rais ni ugaidi. Hilo ni angalizo tu.
Kwa nini usiwaombee kifo wazazi wako waliokulea katika mazingira ya hovyo kama haya ya kuombeana vifo!Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na mhusika mkuu.
Mungu aanze na gaidi mbowe kwanzaMwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.
Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.
Tunaomba uanze na mhusika mkuu.
Sisi hatuna wa kumlilia zaidi yako maana hatuna nguvu walizonazo.
Rais yupi alieombewa kifo ndugu mwananchi?!Kumuombea kifo Rais ni ugaidi. Hilo ni angalizo tu.
Usemayo ni kweli, lakini ni hao hao walituambia tuanze upya kwa kufuta kesi zote za kubambikiza! Hizi kesi za kubambikiza hazikuwa zinatoka from nowhre but kutoka huko huko waliko watu wenye taarifa ambazo wengi hatuzijui kwa kina...Tatizo ni ukweli kwamba nchi huwa na mifumo ya kiusalama yenye watu wenye taarifa ambazo wengi wetu hatuzijui kwa kina.
Mzee wa watu Mbowe kafanya nini yarabi.