Mwenyezi Mungu ikikupendeza, tuendelee na huyu aliepo sasa

Mwenyezi Mungu ikikupendeza, tuendelee na huyu aliepo sasa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na mhusika mkuu.

Sisi hatuna wa kumlilia zaidi yako maana hatuna nguvu walizonazo.
 
Duh hii dua mbona ya ajabu hivi. Hao wanaomuomba Mungu aingilie kati hawawezi kuwa na wao ni wadhambi wakubwa?.
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Kumuombea kifo Rais ni ugaidi. Hilo ni angalizo tu.
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Tafuta kazi ya kufanya utaondoa mawazo ya kijinga kama haya ya kuombeana vifo
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
amen na iwe hivyo
 
Duh hii dua mbona ya ajabu hivi. Hao wanaomuomba Mungu aingilie kati hawawezi kuwa na wao ni wadhambi wakubwa?.
Kuna mambo yanatia kinyaa mbele ya waungwana!!

Madhira yanampozidi mwanadamu, hakika hawezi kuwa na namna nyingine zaidi ya kukielekeza kilio chake kwa Mwenyezi Mungu!!

Kama mwanadamu huyu anakandamizwa, kuonewa, kubaguliwa, na kufanyiwa udhalimu uliokithiri na mwanadamu mwenzake mwenye maguvu yasiyoelezea wala kupimika, basi huyu mwenye kudhulumiwa hana namna nyingine zaidi ya kuelekeza kilio chake kwa Mwenyezi Mungu kwa maana, ni Yeye pekee ndie mwenye uwezo wa kuingiza haki penye uonevu!!

Hata wale Waislamu unaposikia wanasoma Al Badr, bila kujali kama wanafanikiwa au hapana, wanachofanya ni kuwakilisha kilio chao mbele ya Mwenyezi Mungu wanayemuamini wao kwa sababu wanaona, wao kama wao, hawana tena uwezo wa kuondoa madhira yanayowakumba isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee mwenye uwezo huo, ikiwa anaona inafaa!!

Kwahiyo dua ya Salary Slip ni dua muafaka kabisa, and I have no doubt, you kow it!
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.


Maombi kama haya Maranyingi shetani anakuwa anafuraaaahii..

Na yuko hapo pembeni yako anakuvuruga hatari.
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na huyu mkubwa wao.
Amina.
 
Serikali yako ya CCM inatia kinyaa mbele ya waungwana!!

Madhira yanampozidi mwanadamu, hakika hawezi kuwa na namna nyingine zaidi ya kukielekeza kilio chake kwa Mwenyezi Mungu!!

Kama mwanadamu huyu anakandamizwa, kuonewa, kubaguliwa, na kufanyiwa udhalimu uliokithiri na mwanadamu mwenzake mwenye maguvu yasiyoelezea wala kupimika, basi huyu mwenye kudhulumiwa hana namna nyingine zaidi ya kuelekeza kilio chake kwa Mwenyezi Mungu kwa maana, ni Yeye pekee ndie mwenye uwezo wa kuingiza haki penye uonevu!!

Hata wale Waislamu unaowasikiaga wanasoma Al Badr, bila kujali kama wanafanikiwa au hapana, wanachofanya ni kuwakilisha kilio chao mbele ya Mwenyezi Mungu wanayemuamini wao kwa sababu wanaona, wao kama wao, hawana tena uwezo wa kuondoa madhira yanayowakumba isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee mwenye uwezo huo, ikiwa anaona inafaa!!

Kwahiyo dua ya Salary Slip ni dua muafaka kabisa, and I have no doubt, you kow it!
Tatizo ni ukweli kwamba nchi huwa na mifumo ya kiusalama yenye watu wenye taarifa ambazo wengi wetu hatuzijui kwa kina.

Mzee wa watu Mbowe kafanya nini yarabi.
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na mhusika mkuu.
Kwa nini usiwaombee kifo wazazi wako waliokulea katika mazingira ya hovyo kama haya ya kuombeana vifo!
 
Mwenyezi Mungu, ulie na mamlaka yote mbinguni na duniani, tunaomba umalize huu uonevu unaoendelea kwa kuwaondoa wale wote wanaohusika katika kutoa baraka zao uonevu huu uendelee pamoja na wale wote wanaosimamia utekelezaji wake.

Wale wengine walipukutika wamebaki hawa hivyo tunaomba na wao wawafuate maana hawataki kujifunza kutokana na makosa.

Tunaomba uanze na mhusika mkuu.

Sisi hatuna wa kumlilia zaidi yako maana hatuna nguvu walizonazo.
Mungu aanze na gaidi mbowe kwanza
 
Mungu atapojibu maombi yako kinyume na vile unavyofikiria usije kulia lia huku kwamba polisi wamemuwekea sumu nk. Moyo wa mtu msitu, huwezi mjua gaidi kwa macho na mara nyingi hujifanya watu wema sana.
 
Labda ameanza kuwa katili kwa kuwa kaona hamna shukrani. Kawafutia kesi kina Mdude mkaanza kumtukana ndio maana kawaacha vijana wake waseme nyie ni magaidi
 
Sikujua,.

Wewe ni zaidi ya Jahil aisee! Kisa siasa?!

Kwangu CCM na CHADEMA wote walewale tu.

Ninyi mkikosolewa humu Jf mnatoa matusi mengi na dhihaka juu! Yaani kila usafi mnao ninyi, mkioneshwa hapa mna vumbi mnashambulia watu kwa matusi na dhihaka na kebehi.

Hata huko Twitter na wanaharakati wenu mpo hivyo hivyo! na mnawashushia watu matofali na mnapongezana kabisa "eti ehh amezidi bora ulivyomfanyia hivyo!" Huo ndiyo uhuru wa kutoa maoni mnaoutaka na mnaoutangazia dunia? Ninyi ni mbwa mwitu tu! Sasa ninyi na CCM mna tofauti gani?

Kwa sababu nguvu yenu ndiyo imeishia hapo mnafanya hayo! Laiti ingelikuwa kubwa mngeliifanya kwa ukubwa unaolingana na nguvu yenu.

CCM nao vivyo hivyo, wakikosolewa wanatumia nguvu kubwa mitandaoni na uraiani nguvu ya dola. Wao wanafanya hivyo kwa sababu nguvu yao ndiyo ipo hivyo! Kwa hiyo CCM na CHADEMA ni wale wale tu. Bado sijamuona mpinzani wa kweli Tz.

Halafu mnawaombea wenzenu kifo? Ashakum si matusi! Yaani Nyani haoni kundule! Wewe ni completely idiot.
 
Tatizo ni ukweli kwamba nchi huwa na mifumo ya kiusalama yenye watu wenye taarifa ambazo wengi wetu hatuzijui kwa kina.

Mzee wa watu Mbowe kafanya nini yarabi.
Usemayo ni kweli, lakini ni hao hao walituambia tuanze upya kwa kufuta kesi zote za kubambikiza! Hizi kesi za kubambikiza hazikuwa zinatoka from nowhre but kutoka huko huko waliko watu wenye taarifa ambazo wengi hatuzijui kwa kina...

Kwa maana nyingine, hata wao wenyewe wanafahamu kulikuwa na kesi za kubambikia kutoka huko huko tusikokujua akina sie, vinginevyo wangeacha mahakama zifanye kazi!!!

Na ushahidi wa haya umeanza kujionesha wazi! Watu wakiwa kwenye mkusanyiko fulani, wakakamatwa! Wale wasio na ubavu wa kupambana na wenye mabavu wakasema tumekamatwa kwa sababu tunadai katiba mpya!

Wale wenye taarifa nyeti tusizojiua wengine wakaruka kimanga na kutuambia "...waongo hao! Mkubwa wao ana tuhuma za ugaidi, na alipoona anataka kukamatwa akakimbilia Mwanza ili awahadae watu kwamba kakamatwa kwa kosa la kuta kuitisha mkutano wa kudai katiba mpya!"

Tukawaamini!

Ajabu, wale wale waliotuaminisha tuzi tu hapa kwamba suala ni ugaidi, leo wanatuambia "uhujumu uchumi"!

Yaani tuhuma zimechunguzwa kwa karibu mwaka mzima ikaonekana ni ugaidi, lakini siku 3 baadae wakaachana na tuhuma za ugaidi walizotuaminisha kuwepo baada ya uchunguzi wa mwaka mzima, na hatimae kutuambia "...kumbe sio ugaidi, bali uhujumu uchumi"!
 
Back
Top Bottom