Mwenyezi Mungu iwezeshe Liva ifike fainali UEFA

Dua yako imejibiwa ila hiyo ya Brighton sahau Pep hanaga masihara kwenye mechi zinazoamua kombe linaenda wapi
 
Kama uliweka correct score na ukabeti kwa kuweka stake ya milioni, Hakika utaacha kuosha vyombo na kutawaza vikongwe wa kizungu huko dernmark...
 
YOU WILL NEVER WIN ANYTHING
Kweli Dua zetu tofauti,Mi naomba mkuu wachezee nyingine 3.
Dua zako zinawafikiaga vifaranga tu
Kama ambavyo Mnyazi Mungu alikuvungia jana, na leo afanye hivyo hivyo

Amen.
Looserfools always loosefools
Haya maombi ni kama yamechelewa vile?? Yangeanza wiki iliyopita matokeo yakiwa 0-0
Leo ndo mwisho wenu

Hamchukui kombe lolote

Aibu inàendelea leo tena
AIBU YENU, nimewaita wote hapa mle matapishi yenu. Next time mjifunze mpira ni dakika 90. We Will Never Walk Alone.
 
NAMSALIMIA TU ANDUNJE MWENZENU "BLACKPANTHER" MAANA ANA MAHABA SANA KWA MESSI KULIKO HATA MUNGU NA WAZAZI WAKE[emoji113][emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…