Mwenyezi Mungu tujaalie tupate Magufuli Mwingine

Hicho ndiyo kichaa sasa. Umeambiwa mashine inapima sampuli za chembechembe za binadamu, wewe unapeleka mapapai, na bado unategemea ikupe majibu?? Hiyo ni matope siyo akili

You don’t know what you don’t know…

Hivi una watoto..km huu ujinga unawaelezea watoto wako kuna siku wewe ndio utatukanwa kwa kaburi lako…
 
Ukweli mtupu huu.
Wajinga hawaangalii haya,walikubali kudanganyawa.
 
Toka apa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 


HIZO NI LAANA ZA KUIVAMIA ZANZIBAR

Maana mnaendelea kuikumbatia nchi ya watu na kuuwa na kumwaga damu zao , hamna moja mtakalolipata , zaidi ya mateso na kudhalilika.

Karma itaendelea kuwatafuna siku zote
 
You don’t know what you don’t know…

Hivi una watoto..km huu ujinga unawaelezea watoto wako kuna siku wewe ndio utatukanwa kwa kaburi lako…
Nina watoto na wajukuu na Nina akili inayojitegemea siyo kama wewe msukule ambaye unamuabudu Dikteta wa Chato
 
kuna watu sijui mnatutafutia sababu tuwatukane tupigwe ban?
Kuna watu wajinga sana hii nchi yaani hili taifa dah yaani kweli ccm itatawala milele .Nyerere alipokwenda Kenya akamwambia Mzee Kenyata unawatala vipofu Mzee Kenyata akamjibu ww unatawala Maiti kweli kabisa Wa Tz ni Maiti sana.
 
Nina watoto na wajukuu na Nina akili inayojitegemea siyo kama wewe msukule ambaye unamuabudu Dikteta wa Chato

Ungekuwa na akili inayojitegemea JPM wouldn’t bother you…
 
Ungekuwa na akili inayojitegemea JPM wouldn’t bother you…
Kwa taarifa yako huyo DIKTETA hatutompimzisha, lazima tuendelee kuanika ushetani wake mpaka wenye akili waelewe.

Mtabakia misukule tu akina Micho
 
Kwa taarifa yako huyo DIKTETA hatutompimzisha, lazima tuendelee kuanika ushetani wake mpaka wenye akili waelewe.

Mtabakia misukule tu akina Micho

Ok toka hadharani basi mkuu uelimishe umma ushetani wake…unaeza ukawa therapist wetu maana tumevurugwa hatari kesho yetu hatuijui kiza kinene na hatujui tunaponaje labda utatusaidia kubeba maumivu yetu…chagua njoo mwenge, kkoo hata Chato tutakuwa pamoja na wewe kusikiliza nondo zako….
 
Yaani awajalie watanzania kiongozi muuaji?
Embu tuacheni bwana .
Mliyofanya na yule jahili wenu yanatosha
 
Kamfufue
 
Nyie akina Micho hakuna tiba yenu. Subirini kufa na kufukiwa tu kama huyo shetani wenu
 
Mungu ametenda .
 
Mungu AKULAANI wewe unaetaka kuturudishia shida ambazo kwa huruma ya ke ametegua mafiga ili sumu imwagike,kama unapenda shida tulizopitia basi nawe tukuombee umfuaye huko aliko.
Mungu ni mkuu, hakika ametenda Jambo.
 
Nakubaliana nawe ila mafisi na mafisadi waliojaa humu hawataki kusikia hili. Hivyo, watakuwakia kweli kweli mwanangu. Ila wadharau na umethubutu angalau kueleza ukweli huu. Tanzania has gone to the dogs. Thanks for spitting it out clearly.
 
Kuna watu wana miaka miwili wanasubiria vitambulisho vya NIDA, mambo hayajawahi kubadilika sana kama unavyofikiri. Wewe itakuwa mwaka huu ndio umeomba passport.
Mkuu mm nina miaka mitatu sijapata haya ya rushwa yaliķuwepo lakini hakukuwa na uhuru wa habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…