Mwenza bora anahitajika

Mwenza bora anahitajika

Hakuna mshindi kwa kweli. Ahahaha mana hakuna mwenye hizo sifa. Ata mie najua hakuna mwenye hizo sifa. Na shindano limefungwa mana limepita muda wake ahahahhh.
Nimekubali matokeo.
I like your attitude and personality.
In the future, ukiwa na shindano lingine usisahau kunitagi.
Kwa Sasa Acha nifanyie kazi mapungufu yangu, bado ninaimani ipo siku nitashinda tu. [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

We jamaa ni mjanja sana. Toka lini mwanafunzi akajisahihishia pepa lake mwenyewe.

Nikiwa kama baharia mwandamizi napingana na icho ulichoandika. Kwanza si jambo la kujipongeza kuwa na mavigezo hayo ya hovyo. ( Yani papuchi paka ndoa?? Si itaota kutu[emoji23][emoji23][emoji23] Labda km utakuwa na matatizo flani ama wale wa upande wa pili..

Anyway. Umejipa ' A ' kwny written. Sasa twende kwny Oral.

MAJIBU

1)Kwann paka sasa uko singo...

--Nilimtambulisha msichana nyumbani (tulikiwa tumeshibana kweli) , aliniacha kwa sababu ya "long distance relationship". Baada ya hapo sijapata bahati ya kuwa na "real committed relationship"
ya muda mrefu.

2)Mahusiano yako huwa yanakuwa ya namna gan..

--Ya kawaida tu, urafiki na ucheshi, sina wivu wa kijinga, simpi presha mpenzi wangu afanye vitu ambavyo "she is not comfortable with"

3)Jeh utapenda kutupatia namba zako3 ulizohakiki kwa Alama za vidole ili tuweze kuchunguza mawasiliano yako toka mwezi wa 6 mwaka jana ?

--Yes I'm happy to , 1. VODACOM for mawasiliano
2. VODACOM for Internet 3.TTCL for Internet


-->Mleta mada. Akiwa tayari kwa haya nashauri mpe tu iyo Papuchi. Na mchango tutatoa..

--Hitaji langu sio papuchi, Hitaji langu ni kuwa mwenza bora wa binti pujo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni na corona. Acha leo na mie nije na vigezo vyangu vya kutafuta mwenza. Baada ya watu wengi kunivutia wakileta mirejesho ahahaha

Sifa ya mwanaume anayehitajika.
1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
2)Awe na miaka 29/30
3)Jina lake lianzie na herufi E au F
4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
6) Awe na ndevu za O
7)Awe na sura yoyote tu
8)Awe mweusi
9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
10) Asiwe single father
11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia
15)Awe anapenda utani
16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
18) Awe na damu group O
19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda
kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.

Sifa zangu
Atazipata taratibuuuuu. Ila ni mschana mbichiiii
Uje kama una izo sifa na haijapungua ata moja.


Ahahahahaha nashangaa watu sifa zao za mtu kuwa na kazi tu pamoja na umri. Hivi ndio vigezo sasa. (Nitaleta mrejesho ili watu muendelee kupata moyo wa kutafuta wenza kupitia jukwaa ili. Kama mimi nilivyopewa moyo na watu mbali mbali......


Vigezo vyote ninavyo ila umenifukuza kusema eti niwe ninakwenda Kanisani, for what? Mimi hizi dini za maboti na mimi ni vitu viwili tofauti kabisa, Qur'an na Biblia inatuua waafrika mpaka tumekuwa wapumbavu. Utashabikiaje dini za watu zisizo na mashiko yoyote maishani mwetu? Najitoa, tafuta mafala wasiojitambua na washabikiao dini za watu.
 
Vigezo vyote ninavyo ila umenifukuza kusema eti niwe ninakwenda Kanisani, for what? Mimi hizi dini za maboti na mimi ni vitu viwili tofauti kabisa, Qur'an na Biblia inatuua waafrika mpaka tumekuwa wapumbavu. Utashabikiaje dini za watu zisizo na mashiko yoyote maishani mwetu? Najitoa, tafuta mafala wasiojitambua na washabikiao dini za watu.
Mkuu muda umekwisha wa hio fursa lkin ahaha
 
MAJIBU

1)Kwann paka sasa uko singo...

--Nilimtambulisha msichana nyumbani (tulikiwa tumeshibana kweli) , aliniacha kwa sababu ya "long distance relationship". Baada ya hapo sijapata bahati ya kuwa na "real committed relationship"
ya muda mrefu.

2)Mahusiano yako huwa yanakuwa ya namna gan..

--Ya kawaida tu, urafiki na ucheshi, sina wivu wa kijinga, simpi presha mpenzi wangu afanye vitu ambavyo "she is not comfortable with"

3)Jeh utapenda kutupatia namba zako3 ulizohakiki kwa Alama za vidole ili tuweze kuchunguza mawasiliano yako toka mwezi wa 6 mwaka jana ?

--Yes I'm happy to , 1. VODACOM for mawasiliano
2. VODACOM for Internet 3.TTCL for Internet


-->Mleta mada. Akiwa tayari kwa haya nashauri mpe tu iyo Papuchi. Na mchango tutatoa..

--Hitaji langu sio papuchi, Hitaji langu ni kuwa mwenza bora wa binti pujo



Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah kwa jinsi unavyochanganua majibu. Dah hongera sana mkuu.
 
Back
Top Bottom