Mwenza bora anahitajika

Mwenza bora anahitajika

,,Babu yangu aliniambia waogope Sana Wanawake wa Mitandaoni.
Wengi Wana Matatizo,, stress ,,
Mixer Kuvurugwa.

Uwezi kuta wana Bikira ata kwa Dawa tena za Mbele na Nyuma Mabaharia Wamezibandua.
K zao nyingi ni Mabwawa kina kirefu naishia hapo..
Hii ni Fact utaki acha.

....Ukitaka kupambana na Mfupa uliomshinda Fisi we Jaribu utatupa matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
,,Babu yangu aliniambia waogope Sana Wanawake wa Mitandaoni.
Wengi Wana Matatizo,, stress ,,
Mixer Kuvurugwa.

Uwezi kuta wana Bikira ata kwa Dawa tena za Mbele na Nyuma Mabaharia Wamezibandua.
K zao nyingi ni Mabwawa kina kirefu naishia hapo..
Hii ni Fact utaki acha.

....Ukitaka kupambana na Mfupa uliomshinda Fisi we Jaribu utatupa matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo uchunguzi wa babu yako nina uhakika ulikuwa feki, yaweza kuwa alipitia wanawake ambao wana ivyo vina. Mpe pole sana.
 
Hakuna mshindi kwa kweli. Ahahaha mana hakuna mwenye hizo sifa. Ata mie najua hakuna mwenye hizo sifa. Na shindano limefungwa mana limepita muda wake ahahahhh.
 
Hakuna mshindi kwa kweli. Ahahaha mana hakuna mwenye hizo sifa. Ata mie najua hakuna mwenye hizo sifa. Na shindano limefungwa mana limepita muda wake ahahahhh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani umejua kunichekesha jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
,,Babu yangu aliniambia waogope Sana Wanawake wa Mitandaoni.
Wengi Wana Matatizo,, stress ,,
Mixer Kuvurugwa.

Uwezi kuta wana Bikira ata kwa Dawa tena za Mbele na Nyuma Mabaharia Wamezibandua.
K zao nyingi ni Mabwawa kina kirefu naishia hapo..
Hii ni Fact utaki acha.

....Ukitaka kupambana na Mfupa uliomshinda Fisi we Jaribu utatupa matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikariri maisha.
Waliopo mtandaoni Ni hao hao wanaoishi kwenye jamii yako.
Kwani wewe unaishi mtandaoni au unaishi kwenye jamii??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

We jamaa ni mjanja sana. Toka lini mwanafunzi akajisahihishia pepa lake mwenyewe.

Nikiwa kama baharia mwandamizi napingana na icho ulichoandika. Kwanza si jambo la kujipongeza kuwa na mavigezo hayo ya hovyo. ( Yani papuchi paka ndoa?? Si itaota kutu[emoji23][emoji23][emoji23] Labda km utakuwa na matatizo flani ama wale wa upande wa pili..

Anyway. Umejipa ' A ' kwny written. Sasa twende kwny Oral.

Swali..
Kwann paka sasa uko singo...

Mahusiano yako huwa yanakuwa ya namna gan..

Jeh utapenda kutupatia namba zako3 ulizohakiki kwa Alama za vidole ili tuweze kuchunguza mawasiliano yako toka mwezi wa 6 mwaka jana ?

Mleta mada. Akiwa tayali kwa haya nashauri mpe tu iyo Papuchi. Na mchango tutatoa..
Nimechelewa kuuona Uzi wako lakini nimeona mchanganuo mzuri, nami nimeamua kuuchukulia serious, nimefanya kama NECTA.

MAJIBU YANGU

1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
-Ninacho kidogo cha kitimoto (sinywi pombe) ( 1 Mark)

2)Awe na miaka 29/30
- Nipo nayo ( 1 Mark)

3)Jina lake lianzie na herufi E au F
-Jina la pili linaanza na E [emoji3526](0.5 Mark)

4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
- July ( 1 Mark)

5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
-Siyo kati ya Hayo ( 1 Mark)

6) Awe na ndevu za O
- Yes ( 1 Mark)

7)Awe na sura yoyote tu
-Sura ninayo ( 1 Mark)

8)Awe mweusi
- Yes ( 1 Mark)

9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
-Sipo huko ( 1 Mark)

10) Asiwe single father
-Sina mtoto ( 1 Mark)

11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
- Yes ( 1 Mark)

12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
- Yes ( 1 Mark)

13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
-Yes ( 1 Mark)

14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia.
-Wazazi wangu wote RC, kuhamia huko sio tatizo(mie Lutheran), Biblia naijua, vifungu nitavikariri tu. [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
(0.5 Mark)

15)Awe anapenda utani
- Big Yessssss [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106] ( 1 Mark)

16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
- Yes ( 1 Mark)

17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
- Yes (hata tusubiri hadi ndoa poa tu) [emoji3526]. ( 1 Mark)

18) Awe na damu group O
- B+ (Bi mkubwa O) [emoji4] (0.5 Mark)

19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
-Yes ( 1 Mark)

20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
-Huo uzi sijawahi hata kuusoma kabisaa, I just scroll down to skip it. (Nenda kaangalie huwezi kuta komenti yangu)
- Sina mazoea na mdada yeyote, I swear [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488] ( 1 Mark)

21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.
-Yes.( 1 Mark)

SCORE : 19.5/21 (92.85%)

I came very close to the perfect score of 21
Wachache wanaweza kupata hivi
Siji "pm" hadi unipe "go ahead"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikariri maisha.
Waliopo mtandaoni Ni hao hao wanaoishi kwenye jamii yako.
Kwani wewe unaishi mtandaoni au unaishi kwenye jamii??



Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mie nimemshangaa kwa kweli. Ameongeeaaaa utafikiri ananijua nilivyo. Laiti angenilijua nilivyo ata asingeropoka upuuzi wake na wa babu yake ambae alikuwa anatfuna mabwawa tu then akaleta utafiti apa ahahahah
 
Kuna huyu Usher-smith
Nimeona comment Yake namna alivyoiandika kwa ustadi na amejibu hoja zako moja baada ya nyingine.
Huyu kwa mtazamo wangu anapaswa kuwa mshindi [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huyu amejitahidi sanaaaa. Kwa kweli nimpe hongera zake. Lkn ss kuna asilimia vichache vichache hakutimizaaa
 
Back
Top Bottom