Mwenza bora anahitajika

Umesahau kigezo cha kupimwa mkojo
 
Kwaajili ya ofa yako nimeifungua, na niko tayari kuweka namba yangu ya simu hapa hadharani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui mmekubaliana nini na huyo jamaa, ila niko tayari kuingia ulingoni na yoyote aliyepanda dau juu ya ofa yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pambania mkuu mwenye kisu kikali atakula nyama

Sent using Jamii Forums mobile app
Dadek dah....! Hapa mambo yamepamba moto.

kelvin marcus kazaana mkuu ndio kwanza moshi unafuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi hi hi jf bhn mnafurahisha. Uliwahi kuniona au unanifaham?. Au unahs kila mwanamke yupo ivyo?. Usinifundishe nani wa kuish nae na niishi nae vipi. Watu wanaongea mautani apa we unachukukia serious.
 
Hi hi hi jf bhn mnafurahisha. Uliwahi kuniona au unanifaham?. Au unahs kila mwanamke yupo ivyo?. Usinifundishe nani wa kuish nae na niishi nae vipi. Watu wanaongea mautani apa we unachukukia serious.

Narudia tena mara ya nne sio lazima kujibu kila comment..mwaacha aandike anachojisikia usimjibu chochote ukimpa jibu tayari umempa relief.. Pia nchi yetu ni ya demokrasia na hizi ndo gharama za demokrasia
 
Narudia tena mara ya nne sio lazima kujibu kila comment..mwaacha aandike anachojisikia usimjibu chochote ukimpa jibu tayari umempa relief.. Pia nchi yetu ni ya demokrasia na hizi ndo gharama za demokrasia
Kweli kabisa. Ss hv nitaacha moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…