Mwenza bora anahitajika

Kina E na F mnaitwa huku...
Fadhili
Felix
Faustino
Erick ...vitombist hawa utajuta wewe
Elisha
Eliya
Emmanuel...wapole. Wazinzi wa chini kwa chini
Nakuwinda mno na nahakikisha mwaka huu lazima nipate majibu yangu.
 
Papuchi mnato au ndii bwawa?
 
Daah, naona umuhimu wa kuwa na wizara ya Mapenzi, Ndoa na mahusiano kabla ya ndoa. Sio kwa masharti haya, serikali inabidi kuingilia kati.
Dah!, mnanikatisha tamaa jmn
 
Kina E na F mnaitwa huku...
Fadhili
Felix
Faustino
Erick ...vitombist hawa utajuta wewe
Elisha
Eliya
Emmanuel...wapole. Wazinzi wa chini kwa chini
Enock
Ebenezer
Ezra etc
Ahahahaha hadi hizo sifa zao
 
Enock hata kwa hela mtoto wangu simuiti

Ebenezer na Erasto sijui nimeyasahu vipi wakati nishawahi fanya nao kazi...
Mmmh kina Enock ni balaa. Eric pia ata mtt wangu simuiti.
 
Kina E na F mnaitwa huku...
Fadhili
Felix
Faustino
Erick ...vitombist hawa utajuta wewe
Elisha
Eliya
Emmanuel...wapole. Wazinzi wa chini kwa chini
Enock
Ebenezer
Ezra etc
Hayo majina ni balaa
 
Nipo nje ya mashindano vigezo vinne vimenitoa [emoji23] 1,2,3 na 21 haya kila la kheri ukipata uje utuambie tufunge uzi kabisa [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…