Mwenza bora anahitajika

Mwenza bora anahitajika

Poleni na corona. Acha leo na mie nije na vigezo vyangu vya kutafuta mwenza. Baada ya watu wengi kunivutia wakileta mirejesho ahahaha

Sifa ya mwanaume anayehitajika.
1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
2)Awe na miaka 29/30
3)Jina lake lianzie na herufi E au F
4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
6) Awe na ndevu za O
7)Awe na sura yoyote tu
8)Awe mweusi
9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
10) Asiwe single father
11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia
15)Awe anapenda utani
16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
18) Awe na damu group O
19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda
kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.

Sifa zangu
Atazipata taratibuuuuu. Ila ni mschana mbichiiii
Uje kama una izo sifa na haijapungua ata moja.


Ahahahahaha nashangaa watu sifa zao za mtu kuwa na kazi tu pamoja na umri. Hivi ndio vigezo sasa. (Nitaleta mrejesho ili watu muendelee kupata moyo wa kutafuta wenza kupitia jukwaa ili. Kama mimi nilivyopewa moyo na watu mbali mbali......
The Most Winner
Papuchi mnato au ndii bwawa?
 
Kina E na F mnaitwa huku...
Fadhili
Felix
Faustino
Erick ...vitombist hawa utajuta wewe
Elisha
Eliya
Emmanuel...wapole. Wazinzi wa chini kwa chini
Enock
Ebenezer
Ezra etc
Ahahahaha hadi hizo sifa zao
 
Enock hata kwa hela mtoto wangu simuiti

Ebenezer na Erasto sijui nimeyasahu vipi wakati nishawahi fanya nao kazi...
Mmmh kina Enock ni balaa. Eric pia ata mtt wangu simuiti.
 
Kina E na F mnaitwa huku...
Fadhili
Felix
Faustino
Erick ...vitombist hawa utajuta wewe
Elisha
Eliya
Emmanuel...wapole. Wazinzi wa chini kwa chini
Enock
Ebenezer
Ezra etc
Hayo majina ni balaa
 
Nipo nje ya mashindano vigezo vinne vimenitoa [emoji23] 1,2,3 na 21 haya kila la kheri ukipata uje utuambie tufunge uzi kabisa [emoji4]
 
Back
Top Bottom