Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha huoni wenzio wanaleta mrejesho uko.Wewe hauna ubichi wowote ni gubegube tuu maana hakuna msichana mbichi anayetoa papuchi once a year unless una matatizo ya hormone.
Hakuna msichana mbichi anayehangaika kutafuta mume humu, maana wabichi demand zao kubwa mno hawatumii nguvu kubwa kama wewe.
Unforgetable
Ahahahah siamini kama una kigezo kimoja FirstClassKama ni pepa hapo naambulia 1/100 [emoji23][emoji23]
Siamimi km nafit kigezo kimoja tu hapo[emoji23]
Kwani jina kuanzia na F ni la humu ama La ubatizo Mkuu??
Haya mama, all the best, kila kheri kwenye safari yako, hope you meet you soul mate.Ahahahaha sio nyota ndugu yangu. Wala sifatiliagi icho kitu.
Sawa..utuletee na mrejesho..Dada ako nipo kutafuta namimi😎Ata sisahau dada
Ahahahah unanishauri nipunguze eeh?Hivi uko siriaz kweli au unatania?
Sifa zote hizi..yaani hiyo package yote kwa mtu mmoja[emoji134]
Sidhani Kama itawezekana.
Kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah ata usiogope. Jiamini tuuuKweli umeamua ila vigezo namba 3 na 13 vimekuwa nje ya uwezo wangu na nahitaji hii nafasi..
Sijui taratibu zikoje naweza nikakata rufaa huenda kwenye rufaa nikashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina neno my dia nasubiri tu mrejeshoAhahah funguka mkuu
Cha kushangaza at mimi vimenifuraisha atii ahahahaYaani nimecheka Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo sifa zote kwa kiumbe hai mmoja kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app