Mwenza bora anahitajika

Mwenza bora anahitajika

Sifa zangu
Atazipata taratibuuuuu. Ila ni mschana mbichiiii
Uje kama una izo sifa na haijapungua ata moja.

Nimechelewa kuuona Uzi wako lakini nimeona mchanganuo mzuri, nami nimeamua kuuchukulia serious, nimefanya kama NECTA.

MAJIBU YANGU

1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
-Ninacho kidogo cha kitimoto (sinywi pombe) ( 1 Mark)

2)Awe na miaka 29/30
- Nipo nayo ( 1 Mark)

3)Jina lake lianzie na herufi E au F
-Jina la pili linaanza na E [emoji3526](0.5 Mark)

4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
- July ( 1 Mark)

5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
-Siyo kati ya Hayo ( 1 Mark)

6) Awe na ndevu za O
- Yes ( 1 Mark)

7)Awe na sura yoyote tu
-Sura ninayo ( 1 Mark)

8)Awe mweusi
- Yes ( 1 Mark)

9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
-Sipo huko ( 1 Mark)

10) Asiwe single father
-Sina mtoto ( 1 Mark)

11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
- Yes ( 1 Mark)

12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
- Yes ( 1 Mark)

13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
-Yes ( 1 Mark)

14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia.
-Wazazi wangu wote RC, kuhamia huko sio tatizo(mie Lutheran), Biblia naijua, vifungu nitavikariri tu. [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
(0.5 Mark)

15)Awe anapenda utani
- Big Yessssss [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106] ( 1 Mark)

16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
- Yes ( 1 Mark)

17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
- Yes (hata tusubiri hadi ndoa poa tu) [emoji3526]. ( 1 Mark)

18) Awe na damu group O
- B+ (Bi mkubwa O) [emoji4] (0.5 Mark)

19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
-Yes ( 1 Mark)

20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
-Huo uzi sijawahi hata kuusoma kabisaa, I just scroll down to skip it. (Nenda kaangalie huwezi kuta komenti yangu)
- Sina mazoea na mdada yeyote, I swear [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488] ( 1 Mark)

21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.
-Yes.( 1 Mark)

SCORE : 19.5/21 (92.85%)

I came very close to the perfect score of 21
Wachache wanaweza kupata hivi
Siji "pm" hadi unipe "go ahead"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechelewa kuuona Uzi wako lakini nimeona mchanganuo mzuri, nami nimeamua kuuchukulia serious, nimefanya kama NECTA.

MAJIBU YANGU

1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
-Ninacho kidogo cha kitimoto (sinywi pombe) ( 1 Mark)

2)Awe na miaka 29/30
- Nipo nayo ( 1 Mark)

3)Jina lake lianzie na herufi E au F
-Jina la pili linaanza na E [emoji3526](0.5 Mark)

4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
- July ( 1 Mark)

5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
-Siyo kati ya Hayo ( 1 Mark)

6) Awe na ndevu za O
- Yes ( 1 Mark)

7)Awe na sura yoyote tu
-Sura ninayo ( 1 Mark)

8)Awe mweusi
- Yes ( 1 Mark)

9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
-Sipo huko ( 1 Mark)

10) Asiwe single father
-Sina mtoto ( 1 Mark)

11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
- Yes ( 1 Mark)

12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
- Yes ( 1 Mark)

13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
-Yes ( 1 Mark)

14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia.
-Wazazi wangu wote RC, kuhamia huko sio tatizo(mie Lutheran), Biblia naijua, vifungu nitavikariri tu. [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
(0.5 Mark)

15)Awe anapenda utani
- Big Yessssss [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106] ( 1 Mark)

16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
- Yes ( 1 Mark)

17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
- Yes (hata tusubiri hadi ndoa poa tu) [emoji3526]. ( 1 Mark)

18) Awe na damu group O
- B+ (Bi mkubwa O) [emoji4] (0.5 Mark)

19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
-Yes ( 1 Mark)

20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
-Huo uzi sijawahi hata kuusoma kabisaa, I just scroll down to skip it. (Nenda kaangalie huwezi kuta komenti yangu)
- Sina mazoea na mdada yeyote, I swear [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488] ( 1 Mark)

21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.
-Yes.( 1 Mark)

SCORE : 19.5/21 (92.85%)

I came very close to the perfect score of 21
Wachache wanaweza kupata hivi
Siji "pm" hadi unipe "go ahead"


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pujo njoo hapa useme neno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechelewa kuuona Uzi wako lakini nimeona mchanganuo mzuri, nami nimeamua kuuchukulia serious, nimefanya kama NECTA.

MAJIBU YANGU

1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
-Ninacho kidogo cha kitimoto (sinywi pombe) ( 1 Mark)

2)Awe na miaka 29/30
- Nipo nayo ( 1 Mark)

3)Jina lake lianzie na herufi E au F
-Jina la pili linaanza na E [emoji3526](0.5 Mark)

4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
- July ( 1 Mark)

5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
-Siyo kati ya Hayo ( 1 Mark)

6) Awe na ndevu za O
- Yes ( 1 Mark)

7)Awe na sura yoyote tu
-Sura ninayo ( 1 Mark)

8)Awe mweusi
- Yes ( 1 Mark)

9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
-Sipo huko ( 1 Mark)

10) Asiwe single father
-Sina mtoto ( 1 Mark)

11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
- Yes ( 1 Mark)

12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
- Yes ( 1 Mark)

13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
-Yes ( 1 Mark)

14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia.
-Wazazi wangu wote RC, kuhamia huko sio tatizo(mie Lutheran), Biblia naijua, vifungu nitavikariri tu. [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
(0.5 Mark)

15)Awe anapenda utani
- Big Yessssss [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106] ( 1 Mark)

16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
- Yes ( 1 Mark)

17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
- Yes (hata tusubiri hadi ndoa poa tu) [emoji3526]. ( 1 Mark)

18) Awe na damu group O
- B+ (Bi mkubwa O) [emoji4] (0.5 Mark)

19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
-Yes ( 1 Mark)

20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
-Huo uzi sijawahi hata kuusoma kabisaa, I just scroll down to skip it. (Nenda kaangalie huwezi kuta komenti yangu)
- Sina mazoea na mdada yeyote, I swear [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488] ( 1 Mark)

21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.
-Yes.( 1 Mark)

SCORE : 19.5/21 (92.85%)

I came very close to the perfect score of 21
Wachache wanaweza kupata hivi
Siji "pm" hadi unipe "go ahead"


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha umejitahidiiii. Unaweza ukawa mshindi kweli?
 
Nimechelewa kuuona Uzi wako lakini nimeona mchanganuo mzuri, nami nimeamua kuuchukulia serious, nimefanya kama NECTA.

MAJIBU YANGU

1) Awe na kitambi, ila sio cha pombe. (Mnene)
-Ninacho kidogo cha kitimoto (sinywi pombe) ( 1 Mark)

2)Awe na miaka 29/30
- Nipo nayo ( 1 Mark)

3)Jina lake lianzie na herufi E au F
-Jina la pili linaanza na E [emoji3526](0.5 Mark)

4)Awe amezaliwa August, may, june, July,October
- July ( 1 Mark)

5)Asiwe mkurya, msukuma, muhehe, mluguru, mpogoro, mchaga, Msafwa, mnyakyusa, mrangi wala mnyaturu na mngoni.
-Siyo kati ya Hayo ( 1 Mark)

6) Awe na ndevu za O
- Yes ( 1 Mark)

7)Awe na sura yoyote tu
-Sura ninayo ( 1 Mark)

8)Awe mweusi
- Yes ( 1 Mark)

9)Asiwe dodoma, iringa, Kilimanjaro, moshi, mtwara, tabora, singida, mwanza, arusha, Morogoro, Simiyu, tanga, mbeya, kigoma.
-Sipo huko ( 1 Mark)

10) Asiwe single father
-Sina mtoto ( 1 Mark)

11)Awe tayari kunipeleka kwake kama anajitegemea
- Yes ( 1 Mark)

12)Awe tayari kuwa kwenye urafiki miezi 3, alafu ndiyo kuwa mpenzi
- Yes ( 1 Mark)

13)Awe na sifa ya kushare simu zetu. Yake niishike yangu niishike.
-Yes ( 1 Mark)

14) Awe ni mwenye kwenda kanisani kila wakati hasa hasa jumapili (RC). Avijue vifungu vyote vya biblia.
-Wazazi wangu wote RC, kuhamia huko sio tatizo(mie Lutheran), Biblia naijua, vifungu nitavikariri tu. [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
(0.5 Mark)

15)Awe anapenda utani
- Big Yessssss [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106] ( 1 Mark)

16) Awe na kazi ya kujitosheleza haswa
- Yes ( 1 Mark)

17)Ambaye ana uvumilivu ata wa kupata papuchi baada ya mwaka.
- Yes (hata tusubiri hadi ndoa poa tu) [emoji3526]. ( 1 Mark)

18) Awe na damu group O
- B+ (Bi mkubwa O) [emoji4] (0.5 Mark)

19) Awe mstaarabu na mpenda maendeleo. Mpole na mwenye kujiheshimu.
-Yes ( 1 Mark)

20)Asiwe amechangia uzi wa kula tunda kimasihara wala za kuwaaibisha wanawake. Asiwe na mazoea na mautani na mdada yoyote wa umu.
-Huo uzi sijawahi hata kuusoma kabisaa, I just scroll down to skip it. (Nenda kaangalie huwezi kuta komenti yangu)
- Sina mazoea na mdada yeyote, I swear [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488] ( 1 Mark)

21) ID yake iwe ni ya miaka mirefu from 2017 kushuka chini. Wewe wa 2018 kwenda mbele upumzike ulale kidogo.
-Yes.( 1 Mark)

SCORE : 19.5/21 (92.85%)

I came very close to the perfect score of 21
Wachache wanaweza kupata hivi
Siji "pm" hadi unipe "go ahead"


Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wewe unaweza ukampita kelvin marcus ahahaha
 
Back
Top Bottom