Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,573
- 2,819
- Thread starter
- #541
Ahahah hatuna kasoro mkuuMnaotafuta wapenzi mitandaoni uwa mna kasoro gani mpaka mnakosa wapenzi huko mitaani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah hatuna kasoro mkuuMnaotafuta wapenzi mitandaoni uwa mna kasoro gani mpaka mnakosa wapenzi huko mitaani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi wa mtaani ata kwa mbinde siwezi kuwa na mahusiano naye. Lazima nitakayekuwa na mahusiano naye awe mbali na ninapoishi mie.Hauwezi kumjua mtu tabia zake mkikutana mtandaoni na hata muonekano wake..
Ni vizuri ukimuona mtaani au ana kwa ana itakusaidia kujua vitu vingi kumuhusu yeye.
Au mnaogopa kutongoza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie wa mtaani kwa kweli siwezi. Ata aje na lugha ghaniSio lazima wote tupende kwa kuangalia tabia ya mtu au muonekano wake...
Huku tunapenda kwa kuangalia maandishi hayo mengine tumewaachia nyie wa mtaani
Kutongoza mtaani kweli tunaogopa kama wewe unavyoogopa kutongoza mtandaoni
Apo sasa kamati inaendelea kukamilika. Asa huyu Mnazareth atachangia nini? AhahNaaam mziki na dj mie talipia.
Vinywaji na chakula tumemuachia ndugu mjumbe Shadeeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kutuambia sie wa mitandaoni hatutaolewa?. Afu tuna tabia mbaya kweli?. Then huyo manzi wako ndiyo kifaa chenye tabia njema?.Sijajua kwa mademu wengine.
Ila wangu whatsapp kamaliza.
Hana muda wa facebook,instagram .
na akiniona naandika kitu jamii forum ananiuliza una chat na nani?.
Haijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu yupo atakuwa kamati ya nidhamu na ulizi.Apo sasa kamati inaendelea kukamilika. Asa huyu Mnazareth atachangia nini? Ahah
Umesomeka ChiefKuna ambao kupitia tuu michakato yakimaisha mnajikuta inabid mfamiane tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishakufundisha raia kama hawa unawapotezea nia yao kubwa Ni kuharibu Uzi wetuKwa hiyo unataka kutuambia sie wa mitandaoni hatutaolewa?. Afu tuna tabia mbaya kweli?. Then huyo manzi wako ndiyo kifaa chenye tabia njema?.
Wewe ni kifaa kimoja wapo. Usitake nianze kumuonea wivu kelvin marcusAkikujibu nitag ahahah
Hao wapinzani ni kina nan isije kuwa ni huyu mnazaleth ...Ahahaha elewa kuwa wapo
Bwashehe ametangaza hakuna upinzani mbona mnanichanganya?Ahahaha elewa kuwa wapo
Muite aje, amwage sera
We muonee huruma tuu. Hebu mfikirie kwa upole. Najua u umpole saana plus kasura ka kirembo.Ahahaha hauwezi kufa bhna.
Kwa kipindi hiki cha Corona nitajitolea Barakoa na Sanitizer kwa wageni wote waalikwa ukumbini.Apo sasa kamati inaendelea kukamilika. Asa huyu Mnazareth atachangia nini? Ahah