Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetongozwa na naendelea kutongozwaHapanaa.hivi dada angu unataka kusema siku zote haujawahi kutongozwa huko mtaani na mwanamke ukamkubali mpaka uje kutafuta mtandaoni?..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahah unaenda kumchuna mbuzMimi sina kisu mzee
Nina panga, nina sime, msumeno, bisibisi, pilipili kichaa, nyongo ya mbuzi.
Yani niko vizuri aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi hi hi jf bhn mnafurahisha. Uliwahi kuniona au unanifaham?. Au unahs kila mwanamke yupo ivyo?. Usinifundishe nani wa kuish nae na niishi nae vipi. Watu wanaongea mautani apa we unachukukia serious.
Mkuu mtu akipunjwa mkate ndo utajua umuhimu wa hii tahadhali niliyochukua.
Nitamchuna yeyote atakayeleta umbuzi.Ahahah unaenda kumchuna mbuz
Eh mshukuru sn Mungu
Ahahah unaenda kumchuna mbuz
Ahahaha sanaaa
Amekwambia yeye bado ni mbichi maana yake hajakanyagwa na tairi ya gari.ID yangu inasoma 2015, lakini nilitaka kukuuliza hivi hao wengine waliopitaga kwako hakuna aliyekuwa na kigezo hata kimoja?
Maisha na muziki
First to reply [emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unasahau kua mapenzi ni vita. Wewe pambana kihisia, mimi napambana kivita vita.Bwashehe jamaa kaja na silaha hatari kama anaenda vitani..hajui watoto wa wazuri hawapendi ukali wanapendwa kubembelezwa
Ewaaaaa.Ahahah hiyo lazimaaa. Sitaki nipate pumba mimi ntk mchele mzuri haswaaaaa
Ngumu hasaaa na kama mie siiwezi hata kidogo.Ahahah kazi ngumu hiyo ohooo